Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Hukulazimishwa kusoma. Huyu dhalim tutaendelea kumsema kwa udhalimu wake na hata kwa mazuri machache tutasema,wewe nani wa kutufunga mdomo?
 
Ondoa Mkapa hapo. Mkapa kufa kwake kuna mkono wa Magufuli. Mkapa alishakuwa mwiba kwa Magufuli kuhusu kuondoa ukomo wa muda wa kutawala wa miaka mitano kwa vipindi viwili. Mkapa alikwisha weka wazi msimamo wake juu ya katiba na Tume Huru ya Uchaguzi. Hivyo vitu vilikuwa vinamkera magufuli
Kumbe dhalim ana mjono kwenye mauti ya yule M'meto toka Msumbiji?
 
Du ni shida, tutajifunza mengi kwa utawala ule, naona bado tunataka kuurudisha kwa mlango wa nyuma kwa kisingizio cha ukanda.
 
Mwendazake kaponza wengi, mmoja aliponea chupuchupu dk ya 90 akarudi duniani dadadeq :D :D
Ilibaki kidogo asababishe kifo cha kiongozi mmoja kwa kumlazimisha afanye press kudanganya haumwi hili hali kovidi ilikua imemkaba akaanza kukohoa hadi kamera zikazimwa upesi, behind the scene akarudishwa kwenye mtungi wa oxygen kumnusuru.
 
Ilibaki kidogo asababishe kifo cha kiongozi mmoja kwa kumlazimisha afanye press kudanganya haumwi hili hali kovidi ilikua imemkaba akaanza kukohoa hadi kamera zikazimwa upesi, behind the scene akarudishwa kwenye mtungi wa oxygen kumnusuru.
Ila jiwe alikuwa katili sana,alihatarisha maisha ya mtu ili kulinda uwongo wake wa kishamba. Uzuri covid aliyokuwa anaidharau ikaja kumfyekelea mbali.
 
Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Jpm ana bahati mbaya Sana. Nyerere anasifiwa kila Kona ya nchi na hakuna anayemsema vibaya kwa lolote lakini jpm anaandamwa kila kitu. Hilo ni funzo kubwa sana kwamba tuwsiwe Kama yeye kwa kujitakia sifa at the expense of other's sufferings.
 
Back
Top Bottom