bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!