Kila siku tunasoma vitabu vya ujasusi wa kiuchumi ili tusonge kama taifa lakini unakuta umweka kada asiye na maono unatagemea afanye maendeleo gani kwa taifa, sema Kama taifa tumeshawatenga wasomi wenye elimu, ujuzi na weledi tunaangukia kwa wanasiasa mambumbumbu yasiyo na dira, mama anza kupunguza makada wasio na tija kwa taifa