Hayati Magufuli alijaza makada wa CCM kwenye teuzi za Serikali, hawa ndio wapiga dili wenyewe, Rais Samia asiwachekee

Kila siku tunasoma vitabu vya ujasusi wa kiuchumi ili tusonge kama taifa lakini unakuta umweka kada asiye na maono unatagemea afanye maendeleo gani kwa taifa, sema Kama taifa tumeshawatenga wasomi wenye elimu, ujuzi na weledi tunaangukia kwa wanasiasa mambumbumbu yasiyo na dira, mama anza kupunguza makada wasio na tija kwa taifa
 
Kila siku tunasoma vitabu vya ujasusi wa kiuchumi ili tusonge kama taifa lakini unakuta umweka kada asiye na maono unatagemea afanye maendeleo gani kwa taifa, sema Kama taifa tumeshawatenga wasomi wenye elimu, ujuzi na weledi tunaangukia kwa wanasiasa mambumbumbu yasiyo na dira, mama anza kupunguza makada wasio na tija kwa taifa
Unakuta DG wa TTCL anavaa mashati ya chama ofisini!
 
Nasikia hadi kwenye vyombo vya ulinzi na USALAMA makada wwalingizwa bila kufata vigezo
Hili nimelishudia kwa macho yangu. Nilikutana na baadhi ya makada waliotoka umoja wa vijana wameajiriwa na chombo nyeti cha Ulinzi. Yaani ni weupe kichwani sikuamini macho na masikio yangu, baada ya kushuhudia utendaji wao uliokuwa wa kiwango cha chini kabisa.
 
Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.

Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.

Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.

Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.

Nawatakia Sabato njema!
Nia yake ilikuwa mbaya kwa Taifa hili kuteua watu wanaofikiria matumbo yao na kuwapendelea watetezi wake na wewe ukiwa miongoni mwao,kama Mama Samia atakuwa ameligundua hili,basi hamna shaka kuwa na wewe mtoa post unastahili kuwajibishwa kama Ole Sabaya.
 
Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.

Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.

Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.

Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.

Nawatakia Sabato njema!
January sio kada?
Makala sio kada?
 
Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.

Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.

Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.

Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.

Nawatakia Sabato njema!
Mataga wote wakijirudi kama wewe itapendeza sana. Sifia panapostahili. Na kosoa penye kasoro. Sio kusifia kila kitu.
 
Nia yake ilikuwa mbaya kwa Taifa hili kuteua watu wanaofikiria matumbo yao na kuwapendelea watetezi wake na wewe ukiwa miongoni mwao,kama Mama Samia atakuwa ameligundua hili,basi hamna shaka kuwa na wewe mtoa post unastahili kuwajibishwa kama Ole Sabaya.
Hahahaaaa....... Bwashee mimi ni mstaafu!
 
Back
Top Bottom