Hayati Magufuli alijaza makada wa CCM kwenye teuzi za Serikali, hawa ndio wapiga dili wenyewe, Rais Samia asiwachekee

Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.

Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.

Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.

Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.

Nawatakia Sabato njema!
Mara nyingi huwa unakuwa mkweli kuliko Chama chako. Tulilikemea Sana hili, hata Samia mwanzoni alisombwa na kasumba mbovu hiyo.
 
Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.

Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.

Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.

Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.

Nawatakia Sabato njema!
Ila unafiki ni kitu mbaya san asee 😂😂 yaan umeshindwa kumlaumu mteua ukawaangushia jumba bovu wateuliwa? Kwel ulikua na mapenz ya dhat kbs kwa hayati!!!
 
Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.

Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.

Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.

Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.

Nawatakia Sabato njema!

Na hapo vipi?

IMG_20211118_181728_474.jpg
 
What about TANESCO CEO Bw Maharage Chande katokea wapi kama sio DSTV?

Acheni mambo yenu ya urojooo hawa wote wa tz Na wanaweza.
Waziri Kindamba hana uwezo wa kuindesha TTCL kwa mafanikio. Japo wote (Maharage, Nsekela wa CRDB na yeye Waziri) ni watu wa mfumo hana uzoefu, ujuzi, mbinu, ubunifu wala maarifa ya kuliongoza lile Shirika
 
Back
Top Bottom