Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 119,260
- 142,058
Wanasikitisha sana...Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Wanasikitisha sana...Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Mara nyingi huwa unakuwa mkweli kuliko Chama chako. Tulilikemea Sana hili, hata Samia mwanzoni alisombwa na kasumba mbovu hiyo.Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.
Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.
Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.
Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Nawatakia Sabato njema!
Ila unafiki ni kitu mbaya san asee 😂😂 yaan umeshindwa kumlaumu mteua ukawaangushia jumba bovu wateuliwa? Kwel ulikua na mapenz ya dhat kbs kwa hayati!!!Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.
Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.
Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.
Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Nawatakia Sabato njema!
What about TANESCO CEO Bw Maharage Chande katokea wapi kama sio DSTV?Umepiga ikulu chief. From branch manager kwenye private bank to CEO of the Nation sole Telecoms Company!
Watu kama akina Waziri Kindamba...Mkurugenzi wa TTCL, huyu jamaa sijui hata alikuwa na CV gani hadi nkwenda kkuwa CEO wa TTCL
View attachment 2032581
Katika eneo pekee ambalo hayati Magufuli hakuliwekea mkazo wa kutosha ni kwenye teuzi za watendaji wa serikali.
Magufuli alijaza makada wa CCM serikalini na jambo hili halina afya sana kwa serikali nashauri Rais Samia aliangalie kwa macho mawili.
Nia ya hayati Magufuli ilikuwa njema kabisa ila wateuliwa ndio walionyesha tatizo lilipo hebu mwangalie kada wa CCM Sabaya kwa mfano.
Mwanasiasa siku zote anawaza kuiba kuanzia KURA hadi chochote kile.
Nawatakia Sabato njema!
Waziri Kindamba hana uwezo wa kuindesha TTCL kwa mafanikio. Japo wote (Maharage, Nsekela wa CRDB na yeye Waziri) ni watu wa mfumo hana uzoefu, ujuzi, mbinu, ubunifu wala maarifa ya kuliongoza lile ShirikaWhat about TANESCO CEO Bw Maharage Chande katokea wapi kama sio DSTV?
Acheni mambo yenu ya urojooo hawa wote wa tz Na wanaweza.