Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,478
- 31,080
Eti kifo Cha mwenzio isiwe kicheko kwako unakumbuka magufuli alikataza hata watu kumuombea lissu Yani alitufikisha viwango vya uadui wa juu Kama taifa kuvaa fulana za kumuombea lissu ikawa jinai kwenda hospital kumpa pole ikawa jinai khaaa baba yule hapana aisee na aendelee kuwa carbon.Kiongozi gani asie lindwa duniani? Hata weye mwenyewe unajilinda. Ila kifo cha mwenzio isiwe kicheko kwako! Kila mtu ana muda na saa yake! Wewe umejiuliza saa ngapi roho yako itatwaliwa, japo unalala kwa kufunga milango ya nyumba na geti juu! Nawe roho yako itaondoka!