Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,944
Pole Tena mkuuSasa uliniuliza kwanini nimekupa jibu hutaki, au uliuliza ukiwa tayari unajibu lako.pole Sana Mpanzire.
Pole Tena mkuuSasa uliniuliza kwanini nimekupa jibu hutaki, au uliuliza ukiwa tayari unajibu lako.pole Sana Mpanzire.
WAMACHINGA SI WAPIGA KURAIkumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.
Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.
Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.
Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.
Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.
HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Kwani alichosema ambacho ni uongo kiko wapi?Mzilankende Alijaa Giriba Nyingi
Asante.JF Member sikutegemea Kama ungeteseka hivyo. Pole Sana.
JF Member sikutegemea Kama ungeteseka hivyo. Pole Sana.
Kama ilivyokuwa kwa upinzani kwatumia wamachinga na bodaboda 2015 na kushinda majiji makubwa karibu yote.Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.
Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.
Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.
Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.
Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.
HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia
Kumbukumbu ni muhimu kwa mema hata kwa mabaya, hadi leo bado tusoma maovu ya Iddi Amin Dadaa, Adolf Hitler, Ngwabi Sasongweso, akina Noriega na wengine wengi tu kiongozi.Asante.
Ila fanya mengine. Usiandamwe na mzimu wa marehemu. Keshakufa na na hajui lolote.
Shida zetu ziko palepale tuwapelekee walio hai.
Acha nchi itanuke.Hiyo pesa inayozikwa Dodoma kwa kisingizio cha makao makuu kama ingewekezwa kwa wafanya biashara ndogo ndogo kama machinga n.k tungesonga mbele kama taifa.Lakini kama mtoa hoja alivyosema ilikuwa ghiriba ya mjomba Magu.
Mukua umeliweka vizuri sana. Na kwa mfano huo ndivyo Magufuli alivyo exploit ujinga wa Watanzania na ukawa mtaji wake wa kutawala.Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.
Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.
Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.
Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.
Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.
HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Unaishi wapi? Uko TZ au uko nje ya nchi? Kama uko nje ya nchi yaonekana huijui TZ. Yaani unapima mafanikio ya rais kwa kuondoa Machinga, kwani ni uchafu? You must be part of foolish gamers.Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.
Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.
Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.
Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.
Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.
HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
You mean tuna rais mjinga? Rais ni mwanasiasa na kama kuna mwanasiasa asiyetaka kuwa maarufu, S/he qualifies to author a book entitled STUPIDITY:Mukua umeliweka vizuri sana. Na kwa mfano huo ndivyo Magufuli alivyo exploit ujinga wa Watanzania na ukawa mtaji wake wa kutawala.
Nampongeza Rais SSH kwa kuwa mkweli na kufanya yaliyo kweli. Bora ufanye mema ukose kura kuliko kufanya maamuzi ya kukufanya maarufu
Wewe Patriot ndiyo mjinga, you didn't read and understand..You mean tuna rais mjinga? Rais ni mwanasiasa na kama kuna mwanasiasa asiyetaka kuwa maarufu, S/he qualifies to author a book entitled STUPIDITY:
Suala la machinga ni gumu wewe usimsifie mama kabla. Utaona si muda mrefu machinga watazagaa tena na ndio hapo mnaanza kufukuzana nao na virungu jambo ambalo sio zuri. Hii imetokea mara nyingi.Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.
Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.
Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.
Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.
Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.
HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Naomba tena nikueleze; unajadili mambo yanayokuzidi uwezo. Huna 'thinking' ya mjadala huu. Samia hajui jinsi gani atengeneze ajira kwa vijana. Ukishaelewa hilo fahamu Machinga, liko nje ya uwezo wa wanasiasa wetu wote! It is beyond Samia's comprehension, immensus!Wewe Patriot ndiyo mjinga, you didn't read and understand..
Umaarufu unaupata kwa matendo gani? Mema au mabaya?
Maana hata ukinya sokoni mchana utakuwa maarufu kama mtu aliyekunya sokoni mchana
Tatizo la ajira kwa vijana siyo maudhui ya Uzi huu. Ila kama una hasira ya kuwa JOBLESS ruksa kumalizia hasira zako kwenye thread hii. Mjadala unahusu namna Magufuli alivyowatumia machinga kama mtaji.Naomba tena nikueleze; unajadili mambo yanayokuzidi uwezo. Huna 'thinking' ya mjadala huu. Samia hajui jinsi gani atengeneze ajira kwa vijana. Ukishaelewa hilo fahamu Machinga, liko nje ya uwezo wa wanasiasa wetu wote! It is beyond Samia's comprehension, immensus!
Kwani sasa wamezuiwa kufanya biashara ? Au wamezuiliwa kuuinua huo uchumi ? Kama watu wanatoka kufuata masomo maeneo Mahalia basihata hao wamachinga watafuata kwenye maeneo yao. Kama soko la mitumba Ilala lilozoeleka Hadi watu wakawa wanatoka sehemu mbali mbali za jiji na kulifuata sembuse wamachinga, lazima jamii inayo jitambua iishi kwa utaratibu.Suala la machinga ni gumu wewe usimsifie mama kabla. Utaona si muda mrefu machinga watazagaa tena na ndio hapo mnaanza kufukuzana nao na virungu jambo ambalo sio zuri. Hii imetokea mara nyingi.
Magufuli alijua suala la machinga linahusika kunyanyua uchumi wa wananchi kiujumla ili waweze kuendesha uchumi wenye maslahi bila kulazimika kukimbilia mijini. Ndio maana akawa anapigana kulinda na kuendeleza maslahi ya umma.