Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 156
- 202
Ikumbukwe kuwa wakati wa utawala wake alijaribu sana kucheza na akili za watu, hasa akitumbukiza neno la Watanzania wanyonge.
Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.
Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.
Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.
Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.
HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE
Ni yeye huyu huyu alitoa amri kuwa wamachinga watafutiwe maeneo maalum ya kufanyia biashara zao, na ukweli ni kwamba zoezi hilo lilianza na kukatokea mtafaruku mkubwa sana kati ya wale walio lisimamia Hilo zoezi na wamachinga wenyewe.
Na alipogundua kuwa amefeli kwa hilo, akaja na sera yake ya kisiasa kuwa hao watu wasibughudhiwe kwani ndio walio mpatia kura nyingi kwenye uchaguzi, (na kuna clip ili tembea sana mitandaoni akiwa anaongea huyu huyu mama Samia juu ya hao wamachinga kwamba ndio waliowapa kura) bila ya wao kujua kuwa alikuwa ana waanda kwa uchaguzi unao fuata kwani alishaona, na Kama sio kuwa na mashaka kuwa atashindwa kwenye uchaguzi huo.
Kiujumla alishindwa kwenye zoezi la kuwaondoa wamachinga.
Mama na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amefaulu kwa hilo, miji imekuwa misafi na wafanya biashara walio tii na kuelekwa kwenye maeneo elekezi wanaendelea na biashara zao bila bughudha.
Haya ni mafanikio kwa Serikali ya awamu ya sita. Ambayo serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuyafikia.
HONGERA AWAMU YA SITA KAZI IENDELEE