- Thread starter
- #81
Kwenye kampeni hatukumdai Ndege,reli na uwanja wa ndege chato,tulimdai maji,dawa hosp, ajira na watumishi walitegemea awatunze vizuri badala yake akawasimanga bila aibuMbona unataja mabaya tu hakuna mazuri aliyoyafanya km miradi ya serikali kuitekeleza kikamilifu