Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!