Haya yote yanasemekana hivyo tafakari!

Mlamba Chumvi

JF-Expert Member
Oct 29, 2016
403
382
*INASEMEKANA:*

_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.*_

*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.*

_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.*_

*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:*

1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.*_

2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.*_

*Wanabaki wanaume bilioni 1 tu .*

3. _*Milioni 500 hawana kazi.*_

4. _*Kumbuka asilimia tano (2%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.*_

5. _*Asilimia tatu (1.5%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.*_

6. _*Asilimia kumi (0.2%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.*_

7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 55.*_

*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.*
 
*INASEMEKANA:*

_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.*_

*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.*

_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.*_

*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:*

1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.*_

2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.*_

*Wanabaki wanaume bilioni 1 tu .*

3. _*Milioni 500 hawana kazi.*_

4. _*Kumbuka asilimia tano (2%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.*_

5. _*Asilimia tatu (1.5%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.*_

6. _*Asilimia kumi (0.2%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.*_

7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 55.*_

*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.*
 
Hahahahahaha. Umenikumbusha ile idadi ya mademu 100 walionikataa tangu nabarehe mpaka sasa. Nimejikuta napata picha wanakoangukia wengine si kuzuri
 
Back
Top Bottom