Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,738
- 14,637
buji hivi we ni mtabiri? hii nimeipata kwenye uzi wako mmoja kule kwenye jukwaa la ucheshi. nakuaminia sana mkuu https://www.jamiiforums.com/jokes-u...9-wana-jf-kazi-zao-na-mavazi-yao-ya-kazi.html
Huyu hajaona mteja wiki ya pili sasa,njaa inakaribia kumtoa ndani,na mbegu keshazikaanga,muone mimacho,hahaaaaaaa ndo mzizi huyo?kweli Jf sasa inahitaji kitengo maalum cha ukaguzi wa ma members wake,otherwise jf inaweza geuka mti wa mashetwani.