Duh!ushahidi gani unaotaka uletewe?Mbona hizo issue ziko wazi tu kitaa?Binafsi siamini haya mambo,however yapo kwenye jamii na ni kweli alichosema Mawenzi
ushahidi wa kutoka kwenye quran kwamba sisi waislam kufuga majini ni kama sign of authority and respect!! ...
Sijui hilo la quran kusema hivyo.Unajuwa hizi dini tulizoletewa sisi ndo huwa tunaongeza ufundi wetu mwingi tu.Na hilo ni kwa dini zote tu.We cjui unaishi wapi,lakini ndo reality kitaa,mwenye majini mengi na uchawi zaidi ndo yuko juu.Dini yako inakataza kufuga majini?Maana if that's the case basi ndo yale yale ya kukurupukia dini za waliotutawala.
ushahidi wa kutoka kwenye quran kwamba sisi waislam kufuga majini ni kama sign of authority and respect!! ...
Qur'an, Sura 17:73-75
Tafadhali usinitangazie fatwa, umeuliza mwenyewe
73. Na hakika walikaribia kukushawishi uache tuliyo kufunulia ili utuzulie mengineyo. Na hapo ndio wangeli kufanya rafiki
74. Na lau kuwa hatukukuweka imara ungeli karibia kuwaelekea kidogo.
75. Hapo basi bila ya shaka tungeli kuonjesha adhabu mardufu ya uhai, na adhabu mardufu ya kifo. Kisha usinge pata mtu wa kukunusuru nasi.
Sijui hilo la quran kusema hivyo.Unajuwa hizi dini tulizoletewa sisi ndo huwa tunaongeza ufundi wetu mwingi tu.Na hilo ni kwa dini zote tu.We cjui unaishi wapi,lakini ndo reality kitaa,mwenye majini mengi na uchawi zaidi ndo yuko juu.Dini yako inakataza kufuga majini?Maana if that's the case basi ndo yale yale ya kukurupukia dini za waliotutawala.
Ndo maana yake hiyo.Hizi myths tu,hakuna la zaidi.Na kuna watu ni mahiri sana kwenye kufeed hizo myths kwenye mbongo za watu.Kwenye jamii yetu ambayo udaku ni sehemu ya maisha pamoja na ukweli wa ukosefu wa swhughuli za kufanya,basi haya mambo yanapata nafasi zaidi.Kwa mfano alichosema njiwa,kuwa uislam haukubaliani na majini whereas in reality kitaa ni the opposite.wewe JMUsh1 ushindwe kabisa. haya makitu niyakukemea sana sipend kabisa kuskia habari zake...................... lolz!
jmushi1 i dont want to talk about these things as i hate it. To me huwa namwamini Mungu basi elimu hizi za mapepo na majinn yake na maswahiba yake nayaacha kama yalivyo. infact natambua uwepo washetan dunian kwani Mungu alimtupa dunian baada ya kuasi thats all i dont want kuona kaandikwa kiarabu au yuko kama punda sijui au kama jitu i dont manake hakuna aliyewah kumuona kwa macho how can say anaumbo hili?Ndo maana yake hiyo.Hizi myths tu,hakuna la zaidi.Na kuna watu ni mahiri sana kwenye kufeed hizo myths kwenye mbongo za watu.Kwenye jamii yetu ambayo udaku ni sehemu ya maisha pamoja na ukweli wa ukosefu wa swhughuli za kufanya,basi haya mambo yanapata nafasi zaidi.Kwa mfano alichosema njiwa,kuwa uislam haukubaliani na majini whereas in reality kitaa ni the opposite.Hiyo ina maana "I love you" sasa kama ndo juyo jini ama shetani anamaanisha hivyo,then hilo sijui.Mbona alama ya "v" hutumika both for victory and peace?
gfsonwin,sidhani kama napingana na uamuzi wako wa kipi uamini na kipi usikiamini...Jibu langu nililielekeza kwenye swali lako kuhusiana na alama iliyoko kwenye picha ya bandiko la mleta hoja,pale uliposema kumbe ni kweli kuhusiana na alama na majini, uka mention freemason.jmushi1 i dont want to talk about these things as i hate it. To me huwa namwamini Mungu basi elimu hizi za mapepo na majinn yake na maswahiba yake nayaacha kama yalivyo. infact natambua uwepo washetan dunian kwani Mungu alimtupa dunian baada ya kuasi thats all i dont want kuona kaandikwa kiarabu au yuko kama punda sijui au kama jitu i dont manake hakuna aliyewah kumuona kwa macho how can say anaumbo hili?
wacha ni quote ayats kama zilivyo
17. SURA AL ISRAAI (BANI ISRAIL)
(Imeteremka Makka)
link ya quran na tafsiri ya hiyo sura hii hapa 17. SURA AL ISRAAI (BANI ISRAIL)
sijaona point yako! nenda kule answerslam dot com mnapopakuwa huu uzushi ukawaulize tena ayats zina tatizo gani..?
wewe JMUsh1 ushindwe kabisa. haya makitu niyakukemea sana sipend kabisa kuskia habari zake...................... lolz!
Reading between the lines, Sulman Rushdie had his fatwa announced by Ayatollah Khomeini. Just ask yourself 'who are they'
Utajifanya huelewi broken English yangu, nazungumzia WALIKARIBIA KUKUSHAWISHI, HATUKUKUWEKA IMARA, TUNGELIKUONJESHA. Who are those, and who is being told.
(al-Lat, al-Uzza and Manat), any idea who are they?
kama hivi ndivyo wagala wote akili zenu zilivyo, basi sijawahi ona wajinga zaidi ya nyie!reading between the lines, sulman rushdie had his fatwa announced by ayatollah khomeini. Just ask yourself 'who are they'
utajifanya huelewi broken english yangu, nazungumzia walikaribia kukushawishi, hatukukuweka imara, tungelikuonjesha. Who are those, and who is being told.
(al-lat, al-uzza and manat), any idea who are they?
The truth of the matter is that the father of the jinn is other than Satan, although Satan does belong to the species of the jinn. The father of the jinn is a hermaphrodite [khuntha] There is no benefit in spending time with them, and their company is positively harmful. Since they are created of fire and air, their principal attributes are pride and rebelliousness. Those who frequent them are thereby infected with arrogance and conceit Warfare amongst them is not rare, since their essential attributes are boastfulness, asserting superiority over one another, arrogance and overbearing tyranny On the Day of resurrection, those of them who deserve punishment are thrown in to the cold hell, since they are not affected by fire.
kwa maelezo haya nagundua kumbe jf ina wataalam wa fani nyingi sana.hakuingii wewe mwilini mwako upepo wake tu ukikupata ndio baada ya siku tatu ndio unajigeuza kuwa ni shetani mbaya yeye huyo Mungu amemuumba ana uwezo wa kujigeuza kwa kila kitu Paka mweusi mbwa mweusi
kujigeuza upepo mkali kama wa kimbunga,kujigeuza nyoka wa aina ya chatu,kujigeuza Nge mweusi mkubwa, sasa upepo wake ukikupata ndio wewe unapata maradhi na waweza pia kufa usipofanya dua ya kumuondowa anakuwa ni mzuri ikiwa
hadhuru watu lakini akiwa ni mbaya anakuwa ni shetani anadhuru watu wapo Majini wabaya nao ni Mashetani na wapo pia majini wazuri ni viumbe tunaoishi nao ndani ya nyumba Sokoni mahali penye mkusanyiko wa watu hao ni wazuri wanatuona lakini sisi hatuwaoni wakiwa ni wabay ndio wanaitwa mashetani................. Bujibuji
Niogope picha aliyoichora mzizi mkavu??
Kuna Tofauti kubwa kati ya Uislam na Uarabu, Uislam ni Dini ya Mwenyeezi Mungu aliyemteremshia Mtume Wake Muhammad Rehema za Mwenyeezi Mungu ziwe pamojana amani. Uislam ni Dini imani Utii Kunyenyekea Kuamrishana mambo mema kukatazana Mambo mabaya huu ndio uislam na pia uislam ni dini inayofuatwa na Watu wa aina zote duniani. Neno Uarabu Uarabu ni Kabila lilipo huko Uarabuni au nchi za kiarabu haswa huko Libya ,morocco,Tunisia Saudi Arabia Syria U.A.E. Oman,Kuwait,Lebanon,Qatar Dubai,Baharain,Yemen, Sudan ya Kaskazini ,na Misri. huko ndio Uarabuni tofautisha Dini na Kabila ni vitu 2 tofauti umenielewa Mkuu?...... MawenziKwani kuna tofauti gani kati ya uisilamu na uarabu???
Waarabu na waislamu wote wanaabudu majini!!
Kwa mwarabu na muislamu kufuga majini ni sign of authority and respect!!
Kurani imejaa simulizi za majini