chrispny
Member
- Oct 9, 2014
- 71
- 12
Jamani m mbona sioni changes yoyote.
Kwa second round nliofanya.
mimi nimeingia nimeona..angalia tena mkuu wameiupdate muda c mrf coz axubuhi haikuwa hvyo
Jamani m mbona sioni changes yoyote.
Kwa second round nliofanya.
issue ni kwamba hawajafanya editing kwenye baadh ya v2 ,ila waliochukuliwa wamechukuliwa ,waliotemwa wametemwa kama hutak kuamini ngoja nikuitie juma nyosso akushtue kidogo.basi itakuwa imebadilika kwa wachache au sio wote
![]()
unafi__ wee msse__ :mad2:issue ni kwamba hawajafanya editing kwenye baadh ya v2 ,ila waliochukuliwa wamechukuliwa ,waliotemwa wametemwa kama hutak kuamini ngoja nikuitie juma nyosso akushtue kidogo.
hahaha ucpanic.unafi__ wee msse__ :mad2:
Duuuh hilo nalo neno aiseeMi niliapply kwa mara ya kwanza kabisa na nikaambiwa nimechaguliwa lakini selection ilitoka sikupangiwa ktk vyuo vyote nilivyokua nimeomba,nilitaka ni edit information lakini ilishindikana kwani nilikua nikiambia tayari nimeshachaguliwa nisubiri kupangiwa na Cas imefungwa.
USHAURI
Kama na wewe umeandikiwa hivyo jaribu kua mpole ucfurahi saaana coz mwisho wa siku unaweza usilikute jina lako katika orodha ya watakao pangiwa 2 batch.
Ukifungua inadisplay ifuatavyo
****************************
Update:
Kwa wale waliofanya 2nd round ndo watanielewa hiyo text imeappear from today kabla ya hapo kilichokuwepo ni list inaoonyesha kozi tano ulizochagua!
-kosa walilofanya ni kudisplay ile text ya waliopata first round bila kuiedit kwa ajili ya waliopata 2nd round
Yaaap hata mm nmemuta hivyo..!
Kua nmechaguliwa nisubiri...
Lakin kuna wenzangu Wao bado ila waki view selections wanakuta remaing capacity n 0 kweny koz walizoomba 2nd round imekaaje hi?