Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,628
- 1,289
Ukifungua inadisplay ifuatavyo
****************************
Update:
Kwa wale waliofanya 2nd round ndo watanielewa hiyo text imeappear from today kabla ya hapo kilichokuwepo ni list inaoonyesha kozi tano ulizochagua!
-kosa walilofanya ni kudisplay ile text ya waliopata first round bila kuiedit kwa ajili ya waliopata 2nd round
****************************
Update:
Kwa wale waliofanya 2nd round ndo watanielewa hiyo text imeappear from today kabla ya hapo kilichokuwepo ni list inaoonyesha kozi tano ulizochagua!
-kosa walilofanya ni kudisplay ile text ya waliopata first round bila kuiedit kwa ajili ya waliopata 2nd round