totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 370
- 1,111
Habari ndugu zanguni,
Ndungu zanguni naomba tuweni makini na biashara za mtandaoni watu wanalia na MTFE huku wengine wamepata stroke wamelazwa.
Kwa nini mwalimu wetu amekuwa kipofu kiasi hiki
watu hawaelewi kabisaa ila baadae wanapoanza kulia ndo wanakumbuka shuka kumekucha.
HAYA TUJIFUNZE TENA KUPITIA MTFE NA HIZO BIASHARA NYINGINE ZINAZOHUSIANA KAMA HIZI
Ndungu zanguni naomba tuweni makini na biashara za mtandaoni watu wanalia na MTFE huku wengine wamepata stroke wamelazwa.
Kwa nini mwalimu wetu amekuwa kipofu kiasi hiki

watu hawaelewi kabisaa ila baadae wanapoanza kulia ndo wanakumbuka shuka kumekucha.HAYA TUJIFUNZE TENA KUPITIA MTFE NA HIZO BIASHARA NYINGINE ZINAZOHUSIANA KAMA HIZI


