Haya tufanye pesa zinachotwa kama anavyowaongopea Polepole na Mange Kimambi. Nyie mnasemaje? Mna la kufanya?

Haya tufanye pesa zinachotwa kama anavyowaongopea Polepole na Mange Kimambi. Nyie mnasemaje? Mna la kufanya?

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,169
Reaction score
48,681
Nikiwaita wajinga mnakasirika.
Kutwa kutwa mnakesha kufuatilia habari za uzushi kutoka kwa Mange Kimambi na Polepole ambao wao pia ni wana CCM ambao mfumo umewakaanga.
Polepole ana madudu mengi sana. Kesho nitayaanika hapa.
Mange baada ya kukosa Ubunge ndipo kaja na utetezi uchwara.
JPM alimpa million 500 kumfunga mdomo mbona hasemi hilo?
Haya tuseme yote ni kweli, Watanganyika mnaibiwa matrilioni ya pesa. Mnasemaje sasa?
 
Ila wala na kipofu wa kipindi hiki wanajua sana jinsi kutokumshika mkono hapo nawapa 10/10.
 
Wenyewe wanaotajwa wanajali.... Kujua tatizo ni nusu ya tiba
 
Nikiwaita wajinga mnakasirika.
Kutwa kutwa mnakesha kufuatilia habari za uzushi kutoka kwa Mange Kimambi na Polepole ambao wao pia ni wana CCM ambao mfumo umewakaanga.
Polepole ana madudu mengi sana. Kesho nitayaanika hapa.
Mange baada ya kukosa Ubunge ndipo kaja na utetezi uchwara.
JPM alimpa million 500 kumfunga mdomo mbona hasemi hilo?
Haya tuseme yote ni kweli, Watanganyika mnaibiwa matrilioni ya pesa. Mnasemaje sasa?
La kufanya tunalo, kwanza ni wewe uchinjwe kweupe ili wajinga mpungue Cha pili tunafyeka matapeli
 
Na ndo maana mnazidi kukusanya pesa za umma mana mnajua Tz ina wajinga wengi na hawana la kuwafanya
 
Ukute mtoa mada baba yake anaishi kwenye banda la mlango wa hamisha nipite ila anatetea majambazi😂
Ahahaha 🤣 🤣 🤣
Tatizo Watanzania wengi hamjielewi,..
Badala ya kuandamana mumtoe Lissu mnazubaishwa na Polepole
 
Nikiwaita wajinga mnakasirika.
Kutwa kutwa mnakesha kufuatilia habari za uzushi kutoka kwa Mange Kimambi na Polepole ambao wao pia ni wana CCM ambao mfumo umewakaanga.
Polepole ana madudu mengi sana. Kesho nitayaanika hapa.
Mange baada ya kukosa Ubunge ndipo kaja na utetezi uchwara.
JPM alimpa million 500 kumfunga mdomo mbona hasemi hilo?
Haya tuseme yote ni kweli, Watanganyika mnaibiwa matrilioni ya pesa. Mnasemaje sasa?
Unafikiri manyumbu ya Chadema yana cha kufanya zaidi ya kuumiza vidole kutype 😂😂😂😂

Jitu linajiita Mshana yeye 24/7 yupo online kupost alafu analalamikia serikali, si unyumbu huo
 
Nikiwaita wajinga mnakasirika.
Kutwa kutwa mnakesha kufuatilia habari za uzushi kutoka kwa Mange Kimambi na Polepole ambao wao pia ni wana CCM ambao mfumo umewakaanga.
Polepole ana madudu mengi sana. Kesho nitayaanika hapa.
Mange baada ya kukosa Ubunge ndipo kaja na utetezi uchwara.
JPM alimpa million 500 kumfunga mdomo mbona hasemi hilo?
Haya tuseme yote ni kweli, Watanganyika mnaibiwa matrilioni ya pesa. Mnasemaje sasa?


Nyie na mama yenu mmevimbiwa sasa mnatunanga
 
Nikiwaita wajinga mnakasirika.
Kutwa kutwa mnakesha kufuatilia habari za uzushi kutoka kwa Mange Kimambi na Polepole ambao wao pia ni wana CCM ambao mfumo umewakaanga.
Polepole ana madudu mengi sana. Kesho nitayaanika hapa.
Mange baada ya kukosa Ubunge ndipo kaja na utetezi uchwara.
JPM alimpa million 500 kumfunga mdomo mbona hasemi hilo?
Haya tuseme yote ni kweli, Watanganyika mnaibiwa matrilioni ya pesa. Mnasemaje sasa?


Kuna siku watafanya kitu
 
Back
Top Bottom