Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,833
- 41,127
Subiri fly overs!
Mkuu Kana-Ka-Nsungu Je nikienda kwa Wachungaji waniombee Dua ya kinga au kwa masheikh waniombee Dua ya kinga siwezi kutamba nalo hapo Dares-Salaam? unanishauri vipi?Mzizi umenikumbusha mbali sana enzi zangu za utotoni, tulikua tunakaaga kando ya barabara kuu na kugombania magari, utaskia 'langu hiloo, nimeliwahi mimi', sometimes zilikua zinapigwa kabisa!!
Hiyo mashine ukitua nayo bongo ndo itakua msiba wako!! its either majambazi au virusi!!
tutaweka matuta hadi kwenye fly oversSubiri fly overs!
Mkuu Kana-Ka-Nsungu Je nikienda kwa Wachungaji waniombee Dua ya kinga au kwa masheikh waniombee Dua ya kinga siwezi kutamba nalo hapo Dares-Salaam? unanishauri vipi?
Mkuu Thanda mtaniloga silileti Ng'ooo imeshafika mpaka na kugongwa ajali tena? khaa nilikuwa na mpango wa kulileta hilo gari silileti tena nimeshaghairi
Mnasemaje kuhus hiyo gari yangu nikiileta hapo Dares-Salaam kuna njia za kupita hilo gari langu?
Mkuu jamii01 Ulaya hata kama huna pesa ukipata wazamini wa kazini kwako boss wako akikuzamini
unapata gari hata la mkopo mkuu sipo bongo nipo majuu gari huku ni kitu cha kawaida watu wanaangalia una pesa kiasi gani Bank
hawaangalii una gari au nyumba majuu gari au nyumba ni vitu vya kawaida mkuu majuu huwezi kufananisha na huko kwetu bongo ukiwa
na Gari unawapata mademu kirahisi huku kinachoangaliwa una pesa kiasi gani Bank mkuu amka umelala wewe.............
Mkuu Thanda mtaniloga silileti Ng'ooo imeshafika mpaka na kugongwa ajali tena? khaa nilikuwa na mpango wa kulileta hilo gari silileti tena nimeshaghairi