We unafanya mchezo huko kati watu washaanza kuzungumzia mazungumzo ya amani kusuluhisha mgogoro yafanyike vipi.Anajua alieyaleta
hahahaAroo, mi sipangiwi kama Magufuli hvyoo, ningetaka kumwambia ningemwambia.
Kamawewe unatakakumwambia hivyo mwambie, usitumie mgongo wangu kusema unachotaka kusema wewe.
Yako imelegea?Unayatumiaje huko sasa unapaka kwa juu ahaha
Sawa shukrani,,nitapakaYanafaa kupikia sana,hayana cholesterol,ila ukiyapikia ni kuyafuja coz its an expensive item,pia mara nyingi yanatumika kwa salad hizi mbichi,maana hayagandi,kwenye marination ya nyama yaani unapoweka madikodiko ili uchome nyama yaani marination unatumia hayo hayagandi,ukikosa haya unaweza kutumia ya alizeti.Ila hayo pia kwa kijipaka yanafaa ni mazuri mno,hicho ni kiingereza ila ni mafuta ya zaituni kwa kiswahili.
Paka na chura pia ili iwe laini laini!Na kuoga nioge mara ngapi
Na kwanini nipake mara nyingi hivyo
Una bahati sana mkuu, hayo ndio mafuta bora duniani, halafu in multipurpose, ukiyatumia kwa kupaka utakuja leta mrejesho jinsi utakavyokuwa na ngozi ya kuvutia, pia ni mazuri sana kwa kupikia na hata kufanyia massage.Haya nimemaliza kujipaka ngoja nione kama wiki hivi
Miss Natafuta anakusalimia!Nani kakununulia?
Sawa ngoja nipake ntaleta mrejeshoUna bahati sana mkuu, hayo ndio mafuta bora duniani, halafu in multipurpose, ukiyatumia kwa kupaka utakuja leta mrejesho jinsi utakavyokuwa na ngozi ya kuvutia, pia ni mazuri sana kwa kupikia na hata kufanyia massage.