Mwaka huu hadi raha nimepata majina mengi sana kwa jambo hili,1) makapi
2) oil chafu
3) wanywa viroba
4) Mang'ombe
Haya bado nangoja mengine ila ili la mang'ombe kupakiwa kwenye malori na kupelekwa mnadani ndilo limenichekesha,na kuwahurumia wanaopakiwa kwenye malori
Mingombe si ndo hii inapelekwa mnadani
andaeni na pampers zakumwekea ndugu yenu LOWASA atakapotoa UHAROoo baada ya matokeo. mnadhani watanzania ni wajinga kiasi hicho.. UKANDA umeshawashtua watu wenye akili zao. wanywa VIROBA mtaendelea kujifurahisha humu JF. be prepared...
Inawezekana kabisa umeandika ukiwa chooni unaharisha dogo!
Wanaenda mnadani?
Kumekucha tuingie humo na tupewe t-shirt zetu
andaeni na pampers zakumwekea ndugu yenu LOWASA atakapotoa UHAROoo baada ya matokeo. mnadhani watanzania ni wajinga kiasi hicho.. UKANDA umeshawashtua watu wenye akili zao. wanywa VIROBA mtaendelea kujifurahisha humu JF. be prepared...