Mzurulaji
JF-Expert Member
- Sep 25, 2021
- 295
- 695
Nina wazo la kufungua kampuni ambayo itakuwa inajihusisha na printing,
Kwa sasa nafanya huduma ya printing napatikana dar es salaam.kwa kwa kuprint vikombe, chupa t-shirt mifuko ya kufungua bidhaa n. k
natamani nipate sapoti yenu nyinyi ili muniwezeshe kijana wenu kufanikiwa kufungua kampuni jambo ambalo litawapa ajira watu wengi.
Kwa sasa nafanya huduma ya printing napatikana dar es salaam.kwa kwa kuprint vikombe, chupa t-shirt mifuko ya kufungua bidhaa n. k
natamani nipate sapoti yenu nyinyi ili muniwezeshe kijana wenu kufanikiwa kufungua kampuni jambo ambalo litawapa ajira watu wengi.