Haya ni mawe gani?

Haya ni mawe gani?

Watanzania ni wapumbavu na kujifanya wajuwaji,mwengine anakwambia yatupe ni uchafu,mbumbumbu wa mwisho hayo mawe hayawezi kuwa uchafu yatakuwa na thamani sema ni ndogo.Kesho na keshokutwa wakija wageni wanajiokotea tu utajiri ninyi mnabaki na ujuwaji huku hamna kitu.Mleta mada subiri wataalam watakwambia ni mawe gani na thamani yake.Watanzania punguzeni ujuwaji huku hamjuwi kitu.
Kama nawewe unayataka njoo nikuuzie Moja buku.
 
Back
Top Bottom