Magumu sana....Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.
Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.
Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]
Magumu sana....Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.
Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.
Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]
Na hiyo ndio demokrasia ya kukubali kutokubaliana tusiwe kama ccm tuliposhindwa tunalazimisha kushindaBinafsi sikubaliani na mawazo yako!!
MCC waliionya serikali December mwaka jana walipoahirisha msaada wa MCC. At the same time US, EU na nchi wahisani waliandika barua ya kupinga uchaguzi kufutwa na wakatoa ushauri. By that time Magufuli alikuwa ni Rais wa nchi. Kwa hiyo Magufuli kama Rais wakati huo alikuwa kabisa na uwezo wa kulishughulikia hili swala ........... kama sheria ni kweli hazimruhusu lakini busara ilitakiwa kutumika.
Tatizo waliunder estimate au hawakutegemea pigo kama hilo kuwatokea. Hii ni probably nchi kubwa kama China, UK na US zimekuwa zinaonyesha interest kubwa na Tanzania hasa kwenye kipindi cha Mkapa na Kikwete!! Tumeona akina Bush na Obama wanatembelea Bongo na kulala!!
Badala ya kupiga kelele na kujifanya maskini jeuri ni bora tuangalie namna ya kurekebisha mambo. Tatizo ni kwa kuwa hatukuwa tumejiandaa!!
Rais Magufuli aubebe tu huu mzigo wake maana wananchi tunamtegemea ......... asitafute mchawi nje. Mchawi ni CCM. Period!!
Hilo swala linaweza liwepo lakini serikali ilikuwa inapokea misaada walikuwa hawaoni hicho kipengele?hili swala halihusu ndoa ya jinsia moja,imeibuka kutokana na uchaguzi wa Zanzibar kurudiwa
Umeandika ujinga!!! Ule msaada wa japan unausemeaje???Tanzania hahitaki vya ndebwedo, hapa kazi tu hatuhitaji mjomba, nchi tutaijenga wenyewe
Thanks mkuu kwa masahihishoOk, ok, it is possible, lakini masuala au masharti ya MCC siyo mawili tu yako zaidi ya 12, nadhani.
Halafu to make it clear kuhusu matumizi ya maneno naomba uwe unatumia 'suala' badala ya 'swala' au 'masuala' badala ya 'maswala'. Neno 'swala' lina maana nyingine kabisa. Maana yake inaweza kuwa aina ya mnyama na maana ya pili ni ibada. Naomba radhi kwa kuweka wazi maana ya neno 'swala'. Nimekukuwa nikiona wengi humu JF wanachanganya maneno haya mawili.
Wewe binafsi...... yaani wewe mwenyewe unakubali?Hivo vitendo vipo tangu kale ni mda tu vitaonekana vya kawaida
Thanks mkuu kwa masahihisho
Vipo sana tuWewe binafsi...... yaani wewe mwenyewe unakubali?
Tanzania au ccm.Mimi najua kuna tofauti ya Tanzania na ccmSharti kuu la MCC ni utawala bora. Utawala unaopiga vita rushwa na viongozi wake kupatikana kwa njia ya uchaguzi huru na wa haki. Hilo ndilo ambalo Tanzania haitaki, na inaona inaingiliwa uhuru wake.
Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.
Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.
Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]
Kwani wewe ulikuwa una kikampuni kinafadhiriwa na MCC mbona unakomaa sana na hilo , au wewe ni jipu ulitaka kukwapua maana MCC imekuwa MCC.
Tumeishasema hatuitaki hiyo misaada yao.
Thanks mkuu kwa masahihisho
Madaraka ya rais ni makubwa mno,pia katiba haifuatwi ukifuatilia hata jinsi uchaguzi wa kwanza wa Zanzibar ulivyofutwaUmesahau hata matokeo ya uchaguzi tuliambiwa tukae nyumbani hii ndio CCM wakuu tumejitawala zaidi ya miaka 50 lakini hadi leo sheria kandamizi zinatungwa na kupitishwa na wabunge wetu njaa/ wala rushwa refer kelele za Lugola lazima wadhungu watufundishe adabu.
Kama ingalikuwa ndo hvyo basi hata awamu ya kwanza tungekosaaa fedhaa hiyoo.Sharti kuu la MCC ni utawala bora. Utawala unaopiga vita rushwa na viongozi wake kupatikana kwa njia ya uchaguzi huru na wa haki. Hilo ndilo ambalo Tanzania haitaki, na inaona inaingiliwa uhuru wake.
Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.
Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.
Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]
Mbona suala la ushoga hujasema mkuu maana hiyo misaada lazima kwanza uruhusu ushoga.Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.
Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.
Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]