Haya ndo masharti magumu ya MCC

Haya ndo masharti magumu ya MCC

Ni lini MCC imesema kupata misaada lazima mkubali ushoga?leta link inayoeleweka vinginevyo unajifurahisha kuchangia
Ndio tunavyoambiwa Na hao wanaotetea kuwa uamuzi wa serikali kuhusu hiyo MCC ni sahihi.
 
Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.

Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.

Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]
Muulize Mbowe alisemaje kuhusu MCC na msaada wao pale Nzega Sept 13, 2015.
 
Mkuu, huo ni uzushi ni wapi MCC wamezungumzia masuala ya ndoa ya jinsia moja? Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu, kama sisi ndio tumebugi tusianze kuwapakizia wafadhili bila sababu.
Sasa kama unataka kuona uchungu wa MCC mashoga waoane halafau we kawakamate kama utapata hizo hela.
 
Kuna watu Ndani ya serikali watakuwa wanamuhujuma magufuri hili ashindwe kutekeleza kazi yake vizuri hili waje wamcheke ndio maana wanalopoka kuwa hatuna shida na misaada hili vitu vikwame watanzania wamchukie kwa nini hawakusema mapema kuwa tutajitegemea wayaseme sasa wakati tumeshanyimwa msaada kuwa nao makini mh watanzania wakianza kufa kwa kukosa dawa na maisha yakazidi kuwa magumu hulio nao watakuwa wanafurahi wakati sisi tunaoishi kishetani tutaichukia serikali yako watazame kwa jicho la tatu hii nchi bado kujitegemea tujipange na tuweke Marengo sio brabra kama sasa hivi
Wacha kujichanganya bure haya mambo ya MCC yameanza na bwana Kikwete , hatukuwa nayo tangu zamani na tuliweza kupiga hatua , tukitibu watu wetu , tukisomesha watoto wetu na wakati huo hatukuwa na vyanzo vikubwa vya mapato kama madini na gesi , watu walikuwa sio majizi na wafanyakazi hewa hawakuwepo na makusanyo yalikuwa haba lkn tuliweza.
sasa tumempata gwiji wa kutawala nchi na kubana matumizi , Ataangalia mikataba ya madini upya , amefuta matumizi ya hovyo ,
Kama Taifa achana na kuwa watu tegemezi, hiyo misaada ilikuwa ni umeme na barabara , sasa tutachelewa kupata umeme hiyo si hoja kubwa lkn mwhisho wa siku tutapiaga hatua mbele tukiwa na Jemedari Magufuri
 
Sasa kama unataka kuona uchungu wa MCC mashoga waoane halafau we kawakamate kama utapata hizo hela.

Mkuu tusijaribu ku derail mada - mimi nimeuliza swali dogo, nalo ni: tuonyesheni kipengere/sharti la MCC linalo zungumzia masuala ya ndoa ya jinsia moja - ndio hivyo tena hizo fedha tuzisahau kwa kunshindwa kwetu kuona mbali, tulijidanganya kwamba wenzetu watachukulia mambo poa i.e business as usual kumbe wenzetu hawako hivyo wana misimamo yao hawa entertain ngojera kwenye mambo nyeti, we have learnt our lesson the hardway.
 
Ni lini MCC imesema kupata misaada lazima mkubali ushoga?leta link inayoeleweka vinginevyo unajifurahisha kuchangia

Propaganda za CCM hizo ili watu wa kawaida wawaamini ........... !!
 
Mkuu tusijaribu ku derail mada - mimi nimeuliza swali dogo, nalo ni: tuonyesheni kipengere/sharti la MCC linalo zungumzia masuala ya ndoa ya jinsia moja - ndio hivyo tena hizo fedha tuzisahau kwa kunshindwa kwetu kuona mbali, tulijidanganya kwamba wenzetu watachukulia mambo poa i.e business as usual kumbe wenzetu hawako hivyo wana misimamo yao hawa entertain ngojera kwenye mambo nyeti, we have learnt our lesson the hardway.
Kwani wewe ulikuwa una kikampuni kinafadhiriwa na MCC mbona unakomaa sana na hilo , au wewe ni jipu ulitaka kukwapua maana MCC imekuwa MCC.
Tumeishasema hatuitaki hiyo misaada yao.
 
Propaganda za CCM hizo ili watu wa kawaida wawaamini ........... !!
Wengine sisi wala siyo CCM , sisi hatumtaki Lowasssa na MCC yake maana huko kuko Marekani ndiyo ilitokea RICHMOND , kumbe MCC na RICHMOND ni dugu moja
 
Usiishi kwa kumtegemea MTU. "Imeandikwa, amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu mwenzie" We jitoe kwenye hiyo laana kwanza.
Miaka yote ulikuwa hujui hiyo laana?mbona hamkujitoa kwenye misaada ila mlikataliwa ndo mnaanza kujifanya mnajitegemea mlikuwa wapi,kauli za kifafa hizo
 
Wengine sisi wala siyo CCM , sisi hatumtaki Lowasssa na MCC yake maana huko kuko Marekani ndiyo ilitokea RICHMOND , kumbe MCC na RICHMOND ni dugu moja
I'd yko imekufaa sana
 
Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.

Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.

Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]
Ninavyowajua wazungu hii ipo:
Kubalini wanaume wagegedane
 
Sharti kuu la MCC ni utawala bora. Utawala unaopiga vita rushwa na viongozi wake kupatikana kwa njia ya uchaguzi huru na wa haki. Hilo ndilo ambalo Tanzania haitaki, na inaona inaingiliwa uhuru wake.
Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.

Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.

Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]
 
Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.

Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.

Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]

magumu sana haya.

kuliko chuma cha pua!!
 
Mwanzoni ulipokuwa unapokea msaada ulikuwa shoga?
Ok mkuu muda utaongea tuache marumbano na JF ipo siku zote tutakumbushana tukiwa hai kwa uwezo wa mungu [emoji120]
Wacha kujichanganya bure haya mambo ya MCC yameanza na bwana Kikwete , hatukuwa nayo tangu zamani na tuliweza kupiga hatua , tukitibu watu wetu , tukisomesha watoto wetu na wakati huo hatukuwa na vyanzo vikubwa vya mapato kama madini na gesi , watu walikuwa sio majizi na wafanyakazi hewa hawakuwepo na makusanyo yalikuwa haba lkn tuliweza.
sasa tumempata gwiji wa kutawala nchi na kubana matumizi , Ataangalia mikataba ya madini upya , amefuta matumizi ya hovyo ,
Kama Taifa achana na kuwa watu tegemezi, hiyo misaada ilikuwa ni umeme na barabara , sasa tutachelewa kupata umeme hiyo si hoja kubwa lkn mwhisho wa siku tutapiaga hatua mbele tukiwa na Jemedari Magufuri
 
Wakuu haya ndo masharti magumu ya MCC ambayo viongozi wengi wa CCM wanasema ni magumu.

Utawala bora.
Haki za binadamu na utawala unaofuata sheria mlizojipangia wenyewe.

Kweli haya masharti ni magumu mno[emoji1]


Halafu mimi nadhani lipo pia sharti la kuruhusu ndoa za jinsia moja, ila sina uhakika lakini nadhani lipo...jana au juzi nilimsikiliza vizuri Simbachawene, hakuweza kufafanua kuhusu masharti mengine lakini hili la mashoga na kinachoitwa kuheshimu haki zao sitashangaa kama limo pia
 
Kuna watu Ndani ya serikali watakuwa wanamuhujuma magufuri hili ashindwe kutekeleza kazi yake vizuri hili waje wamcheke ndio maana wanalopoka kuwa hatuna shida na misaada hili vitu vikwame watanzania wamchukie kwa nini hawakusema mapema kuwa tutajitegemea wayaseme sasa wakati tumeshanyimwa msaada kuwa nao makini mh watanzania wakianza kufa kwa kukosa dawa na maisha yakazidi kuwa magumu hulio nao watakuwa wanafurahi wakati sisi tunaoishi kishetani tutaichukia serikali yako watazame kwa jicho la tatu hii nchi bado kujitegemea tujipange na tuweke Marengo sio brabra kama sasa hivi


Binafsi sikubaliani na mawazo yako!!

MCC waliionya serikali December mwaka jana walipoahirisha msaada wa MCC. At the same time US, EU na nchi wahisani waliandika barua ya kupinga uchaguzi kufutwa na wakatoa ushauri. By that time Magufuli alikuwa ni Rais wa nchi. Kwa hiyo Magufuli kama Rais wakati huo alikuwa kabisa na uwezo wa kulishughulikia hili swala ........... kama sheria ni kweli hazimruhusu lakini busara ilitakiwa kutumika.

Tatizo waliunder estimate au hawakutegemea pigo kama hilo kuwatokea. Hii ni probably nchi kubwa kama China, UK na US zimekuwa zinaonyesha interest kubwa na Tanzania hasa kwenye kipindi cha Mkapa na Kikwete!! Tumeona akina Bush na Obama wanatembelea Bongo na kulala!!

Badala ya kupiga kelele na kujifanya maskini jeuri ni bora tuangalie namna ya kurekebisha mambo. Tatizo ni kwa kuwa hatukuwa tumejiandaa!!

Rais Magufuli aubebe tu huu mzigo wake maana wananchi tunamtegemea ......... asitafute mchawi nje. Mchawi ni CCM. Period!!
 
Halafu mimi nadhani lipo pia sharti la kuruhusu ndoa za jinsia moja, ila sina uhakika lakini nadhani lipo...jana au juzi nilimsikiliza vizuri Simbachawene, hakuweza kufafanua kuhusu masharti mengine lakini hili la mashoga na kinachoitwa kuheshimu haki zao sitashangaa kama limo pia
Hilo swala linaweza liwepo lakini serikali ilikuwa inapokea misaada walikuwa hawaoni hicho kipengele?hili swala halihusu ndoa ya jinsia moja,imeibuka kutokana na uchaguzi wa Zanzibar kurudiwa
 
Wengine sisi wala siyo CCM , sisi hatumtaki Lowasssa na MCC yake maana huko kuko Marekani ndiyo ilitokea RICHMOND , kumbe MCC na RICHMOND ni dugu moja
Mkuu MCC siyo ya Lowasa.

Aliyeileta ni Mkapa na ilikuwa ikijuilika kama MCA ........... sasa wamebadilisha jina kwa MCC!!
 
Umesahau na ndoa za jinsia moja
Unajua ili la ndoa mi nadhani serikali za africa wanatumia kuweka chuki ya wazungu ndani ya africa ni agenda iliyotengenezwa ata wao uko kwao wanapinga isipokua wao wanataka kufanya watu wawe huru kufanya kile akipendacho maana ushogo bongo upo sna sasa wanajificha we iyo sheria ikipita kwa mfano kama akuna iyo tabia africa itafanya kaz gani dume utalazimishwa ulale na mwanaume mwezio wakati wato mnajiweza kiafya ni tunadanganyana tu ata bank ukikopa unapewa masharti amna shidah kwa wao kutoa masharti kwa pesa yao mwanzo si tumekubali masharti jmn kwa wachina pesa yao haina masharti
 
Back
Top Bottom