Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Kama Kiba angekua amefeli angealikwa kwenye fiesta? Hataki kabisa dogo wa Tandale amzoee huo ni uamuzi wakewna uheshimiwe.
Sisi nje tutabwabwaja sana sababu ya ushabiki, kufail au kuwin anajijua mwenyewe ktk accounts zake, bifu walizonazo wanajua wenyewe bora kasema wasizoeane......na wamkomeee
 
Sisi nje tutabwabwaja sana sababu ya ushabiki, kufail au kuwin anajijua mwenyewe ktk accounts zake, bifu walizonazo wanajua wenyewe bora kasema wasizoeane......na wamkomeee
1572533495447.jpeg
 
Alimfanyaje aise kijana hadi ana chuki kali namna hio
Kuna kitu kibaya Diamond "anaweza takuwa" amemfanyia Kiba ndio maana kila wakati anataka wayamalize, kama ni hivyo bora aombe msamaha yaishe maana kosa halina muda wa kuisha bila kuondoa tofauti, kama anaona muda umepita kosa limepita atakuwa anajidanganya.
 
Umdharau kwani umeshafaham anayofanyiwa na Mondi? Kiba ni mkimya sana lakini mpaka unaona amaongea ivo ujue kuna mambo Mondi anawafanyia wenzake sio. Huku nje anajifanya mwema kumbe ndani kwa ndani anayoyafanya sio.
Wewe unaeyajua si uyaweke hapa aliyofanyiwa kiba ambayo hata kiba mwenyewe hayajui
 
Hapo ndio tunajua tofauti ya mtu anayeamini Misingi ya Hard work (Platinumz) na yule anayesubiri miujiza(Miracle) kukua kimziki zaidi.., Hapo Lazima Uamini "UCHAWI" (Kurogwa)-Kiba

Ila sikutegemea kama KIBA ataweza kutumia neno hili "UNIKOME" naona tunazidi Punguza idadi ya wanaume Tanzania.
Sifatiliagi sana mambo ya awa jamaa ila,akili yangu umeishawishi kuelewa kiasi flani
 
Umdharau kwani umeshafaham anayofanyiwa na Mondi? Kiba ni mkimya sana lakini mpaka unaona amaongea ivo ujue kuna mambo Mondi anawafanyia wenzake sio. Huku nje anajifanya mwema kumbe ndani kwa ndani anayoyafanya sio.
Hahaaa!! Yaani Kiba akisema jambo ndo ujue kweli kafanyiwa?! Ukweli ni kwamba, Kiba anapenda sana kulia lia!!

Hivi si ni huyu huyu Kiba aliwahi kusema kwamba Sallam kamkatia waya kwenye shoo yake Mombasa?!

Mfano mwingine, mambo ya dis tracks ni jambo la kawaida kabisa kwenye game... Mond siku anafanya remix ya Fresh kasema "...sio Fresh kunifananisha na Cinderella", jamaa akajaa povu na kukimbilia Twitter kwamba eti anajua kwamba Mond anamchukia!!!!

Na ni Kiba huyu huyu akiona Views Youtube haziendi lazima akamate watu "uchawi"!

Na ni Kiba huyu huyu siku ameulizwa chanzo cha bifu lake na Diamond, akadai Mond alikuwa amefuta verse yake (Kiba) kwa sababu alimfunika! Huyu hapa... usije ukadhani namsingizia!



Na hilo jambo kawahi kuliongea zaidi ya mara moja!! Sasa hivi ni sababu ya msingi hiyo?! Na kama kuna nyingine, mbona haisemi wakati mengine huwa anasema tena kwa kukurupuka kabisa
 
Hahaaa!! Yaani Kiba akisema jambo ndo ujue kweli kafanyiwa?! Ukweli ni kwamba, Kiba anapenda sana kulia lia!!

Hivi si ni huyu huyu Kiba aliwahi kusema kwamba Sallam kamkatia waya kwenye shoo yake Mombasa?!

Mfano mwingine, mambo ya dis tracks ni jambo la kawaida kabisa kwenye game... Mond siku anafanya remix ya Fresh kasema "...sio Fresh kunifananisha na Cinderella", jamaa akajaa povu na kukimbilia Twitter kwamba eti anajua kwamba Mond anamchukia!!!!

Na ni Kiba huyu huyu akiona Views Youtube haziendi lazima akamate watu "uchawi"!

Na ni Kiba huyu huyu siku ameulizwa chanzo cha bifu lake na Diamond, akadai Mond alikuwa amefuta verse yake (Kiba) kwa sababu alimfunika! Huyu hapa... usije ukadhani namsingizia!



Na hilo jambo kawahi kuliongea zaidi ya mara moja!! Sasa hivi ni sababu ya msingi hiyo?! Na kama kuna nyingine, mbona haisemi wakati mengine huwa anasema tena kwa kukurupuka kabisa

Ila mzee baba umemaliza Kila kitu huyo jamaa atakuwa amemjua kiba miaka hii ya karibuni.
 
Kuna muda inabidi mtu aache unafiki tu. Mondi huwa akiwa kwenye press huwa anajuwa kucheza na akili za watu kwa kujifanya innocent na asiyekuwa na tatizo na wenziwe.Ila yaliyoko moyoni kwake na kamati yake ya ufundi wanayoyafanya ni ushetani tu. Ila wote ni wasanii wetu tuwasapoti tu.
Mwenzut umejuaje ya Moyoni mwa mtu???!
 
Mimi walivyovujisha video ya Nandy eti wanamkomoa Ruge ndio niliwaona takataka kabisa.

Unamuumiza Billnass na Nandy kwa kuwa una biff zako na Ruge !!


Halafu alivyo mnafiki walipokuwa Dubai akawa anajiweka karibu na Nandy kama vile ni mtu mwema saaana.

Jamaa ni mnafiki sana ndio maana hata mademu zake anawavuruga halafu anajifanya yeye ndo kakosewa.

Yaana yeye siku zote ni INNOCENT

Umejuaje kama video ya Nandi kavujisha mondi kaka
 
Hawa wamezidiana waganga...

Huyo mmoja hirizi imeshambana, kashtukia tego
 
Mpaka Kiba amesimama tena kwenye muziki alihangaika sana nisikiavyo hasa visomo vya Mombasa kwa Joho vimemsaidia sana. Diamond na mama yake walishaizika nyota yake. Kiba hana hamu kabisa.

Diamond hawezi kumchezea Hamo, Chitoholi si mchezo. Aliweza kuwazima walee wa mwanzo sasa atulie.
Unaamini uchawi sana
 
Back
Top Bottom