Haya ndiyo yanayotukera sisi wanaume

Haya ndiyo yanayotukera sisi wanaume

Yaani mke wangu tabia yake mbaya ni moja tu tena ndio hii ya chake chake na changu chetu,sio siri ukiondoa tabia hii mke wangu hana tabia nyingine mbaya ambayo inanikera
Wanawake wengi sana hiyo tabia wanayo inabidi ukae naye umueleweshe.
 
Yaani sipendi unamtongoza mdada badala akubali au akatae anaanza figisufigisu mara ohhh na mtu wangu bora tuwe marafiki a.k.a nataka uwe kaka yangu. Ujinga huu sipendi kabisaa bora tupotezeane tuu kama sio siyo size yako si upite hivi. Mi nachukia yani mpaka napasuka. Ukipotezea anaanza ohh mbona umenisusaa. blali fuu huu ni upimbi
 
Yaani sipendi unamtongoza mdada badala akubali au akatae anaanza figisufigisu mara ohhh na mtu wangu bora tuwe marafiki a.k.a nataka uwe kaka yangu. Ujinga huu sipendi kabisaa bora tupotezeane tuu kama sio siyo size yako si upite hivi. Mi nachukia yani mpaka napasuka. Ukipotezea anaanza ohh mbona umenisusaa. blali fuu huu ni upimbi

Anakutaka huyo sema anataka akuweke kama reserve flani hivi, siunajua tena!
 
Yaani sipendi unamtongoza mdada badala akubali au akatae anaanza figisufigisu mara ohhh na mtu wangu bora tuwe marafiki a.k.a nataka uwe kaka yangu. Ujinga huu sipendi kabisaa bora tupotezeane tuu kama sio siyo size yako si upite hivi. Mi nachukia yani mpaka napasuka. Ukipotezea anaanza ohh mbona umenisusaa. blali fuu huu ni upimbi
umechukia sana.we si Wa mchezo mchezo
 
Yaani sipendi unamtongoza mdada badala akubali au akatae anaanza figisufigisu mara ohhh na mtu wangu bora tuwe marafiki a.k.a nataka uwe kaka yangu. Ujinga huu sipendi kabisaa bora tupotezeane tuu kama sio siyo size yako si upite hivi. Mi nachukia yani mpaka napasuka. Ukipotezea anaanza ohh mbona umenisusaa. blali fuu huu ni upimbi
Ni kumpiga chini tu.
 
Hii ni kutokana na mfumo tulionao sisi wanaume wa kushindwa mara nyingi kuongea yale yanayotukwaza kwa namna yoyote ile kwenye mahusiano, ndoa na hata urafiki. Na tathimini za kiafya pia zinaonesha wanaume wengi hufa kwa “stroke” kwa sababu ya kutunza mambo mengi ya siri ambayo hukutana nayo kwenye mahusiano na hivyo kupelekea umauti wao.

Mnajitakia, sio kweli kama mnakufa kwa sababu ya wanawake ila kwa sababu ya tamaa zenu, mjue tamaa huzaa dhambi na dhambi ndio inayowaua. Mfano mdogo... unajijua una mke na watoto, mimacho kodo kodo unazaa watoto wengine nje. unapoanza kudaiwa matumizi na matunzo yao unaanza kuwaza na mawazo yanakuua. Una mke lakini bado unamtongoza wa jirani yako...ukifumaniwa unajuta na kwa aibu unakufa. Umeshajua mwanamke unayemtaka ana tabia isizozimudu, ila kwa kujionyesha wewe kidume unaoa bila kusita wala kusikiliza ushauri...wewe lazima ufe kabla ya wakati.... unajijua pesa huna lakini unajitutumua hadi unaiba... Endeleeni tu mtakufa kweli....
 
Back
Top Bottom