Haya ndiyo mapenzi

Haya ndiyo mapenzi

Ahahahahaha jamni weee kwann umeghaili sasa na wewe daaah
kama ni ya kweli hayo unayoyasema, wewe ni mmoja ya watu ambao wanamkasirisha mungu kwa makusudi kabisa na kwa kushauri kama ni kweli kaa chini fikiria kwa kina halafu umrudie muumba wako maana siku ukipata ajali ni unaenda hautapona maana hautakuwa na ulinzi wa mungu!! Ila kama vip potezea!
 
kama ni ya kweli hayo unayoyasema, wewe ni mmoja ya watu ambao wanamkasirisha mungu kwa makusudi kabisa na kwa kushauri kama ni kweli kaa chini fikiria kwa kina halafu umrudie muumba wako maana siku ukipata ajali ni unaenda hautapona maana hautakuwa na ulinzi wa mungu!! Ila kama vip potezea!
Wewe ndo una siku 15 humu jf mkuu...
😂😂😂😂😂 Unanishauri kwamba nifanyaje nikae chini nilie na kujutia dhambi zangu 😂😂😂😂
 
Hapana hapana plz sio cha wote ..
Unaweza kumuiba na kumfanya kuwa wako wa peke yako ila je utaweza kumbana kwa ndani ahahaha maana..
Ni cha wote bhn mwisho wa siku mishangazi yako ianze kunitishia maisha kisa nimeiba joka lao😫

Niwe mkweli tu kwajinsi uyo nyoka wako alivyo mkubwa japokua sijamuona ila kumbana kwa ndani sitoweza😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom