Je wewe unamdekeza hivyo mwenzi wako, au unaishia kumpiga miti tu?
"To love" and "To be loved" Source: Teamo
kwahiyo kapicha kamoja kanadefine mapenzi... LOL
Hata Iddi amin alikua na romantic photos dude
love is beyond a magic moment and a magnetic photo
usitie shaka mdogo wangu, ntamtuma MJ1 mdogo wangu wa ukweli akupe shule hapo, coz love haina snapshot!!! it is a process that must stand the taste of timedah!!! Natamani unifafanulie huo msemo wako wa mwisho!!
Nampenda kweli kama kundekeza lazima nimbebe anisamehe kwakweli,kisa chakunivunja mgongo? huyo bwana hapo kwenye pic alivyo jiweka akimpandia mwanamke aloshiba keshamvuja mgogo itakua mambo mapya yakupelekana India pesa zenyewe ndio hivyo tena za mgogoro....
Nampenda kweli kama kundekeza lazima nimbebe anisamehe kwakweli,kisa chakunivunja mgongo? huyo bwana hapo kwenye pic alivyo jiweka akimpandia mwanamke aloshiba keshamvuja mgogo itakua mambo mapya yakupelekana India pesa zenyewe ndio hivyo tena za mgogoro....