Haya ndiyo Makosa 11 anayotuhumiwa Zitto Kabwe na chama chake cha CHADEMA...

Eti Lissu nae ni mwanasheria? Tanzania inakaza kweli.

Kawaulize Magamba wenzako na Jaji kilaza Werema watakuambia idadi ya mechi walizocheza na Lissu halafu ngapi kati ya hizo Magamba walishinda!!! Watakuambia maana naona hiyo buku 7 unayolipwa hapo Lumumba imekutoa kabisa ufahamu hadi una-post ujuha tu hapa!
 
hahahaahaha...kwa speech ya lisu tayari zitto anahujumiwa...eti hatutaki kuweka tuhuma wazi ila si alizozisema zitto na dk.mkumbo...eti ukiwa na nia ya kugombea unaandka barua kwa katibu mkuu hivi kweli kuna kitu kama hicho dunia ipi..et ohh zito ajawahi kuhoji pesa za sabodo na ruzuku kwenye vikao vya chama..sasa atahoji ili nani atekeleze? Mbowe au mkwe wake au vibaraka wa mbowe? Na watueleze ni kwa nini zitto alijitoa kuwa signatory kama si ufisadi wa mbowe na kufanya chama mali yake ikiwemo kukiuzia chama magari chakavu..kukikopesha chama ruzuku kama pesa yake..etc chadema ni saccos ya mbowe na mtei full stop vbaraka wengne wa mbowe njaa zinawasumbua mwsho umefka go zito go zito toa uozo chadema si mama yako wala baba yako..mvuto wa zitto kisiasa na uwezo wake wa kujenga hoja ndio umeifksha chadema pale ilipo toka enzi za buzwagi saga adi leo...chadema masalia wanaoshinda ufipa ni waganga njaa ndio maana mbowe anawawin kirahisi...mbowe si mwanasiasa ni bussines man na silaha anatafta pensheni kwa hili mnyka na umeonyesha udhaifu sana kwa sababu silaha tunajua alishakuwa mtumwa wa mbowe na mtei wewe nawe umeingia uko mnyka kuwa saccos member?
Kama unaona mnyka anafaidi sana na wewe jiunge.Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
 
Pengine Zitto hajawahi fikiria hili ndio maana yupo Busy sana ktk media,na tayari maneno yanamponyoka sana.Kiungwana kabisa nimshauri Tuu Zitto kuwa CDM wameoneka kutotaka mdhalilisha kwa lolote kupitia kauli ya Tundu Lissu za Mnyika.Kuwa hawatautoa waraka hadhara pengine labda ikibidi au wahusika wakiutoa wenyewe.Hii ni Itategemea zaidi kwa Zitto ,matamshi yake na tricks ambzo anadhani zitamsaidia.Kwani kupitia huko atawalazimisha CDM wamwanike zaidi na mwisho wa siku mshindi kaipatikana basi Ni wazi Zitto ataishia kuwa total Villain.Na hii ni kwa sababua CDM watamshinda

Wapo walioana wanaochana bila watoto kujua kuwa kisa kilikuwa tabia mbaya ya kingono ya mzazi mmoja..na siku zote upande ambao hauna hatia haukuchua hatua za kuadhibu upande mwingine,kwa kuuaibisha mbele ya watoto na jamii.Haya hata ktk Biblia ilikuwa itokee kwa Maria ingawa Joseph alikuwa matured enough.Alinuia kufanya upelelezi na kumwacha Maria kwa siri kuliko kumwaibisha ktk jamii.Malaika alipomtokea alimuonyesha kuwa hakuwa na sababua hiyo kwani mchumba wake hajafanya ngono,ingawa ana mimba.Hii nia njema imeonekana na kusikika kwa CDM,ila kwa Zitto inaanza onekana haiopo kabisa.

Hii nadhani ndio Njia sahihi ya Zitto kutafuta achana vyema na CDM tunaita "graceful way",kuliko kuendelea kumbatia desperation.Its natural kupata hasira na kufikiri kuwa ulichofanya kimekuwa bure au chochote.UKweli ni kwamba ,hata Zitto alikuwa akihubiri sana viongozi wa uma wanapokosa kuaminika,wanapojikuta wana kashfa nyingi,ni vyem akuwajibika wenyewe.ZItto anajua kuwa mengi sana dhidi yake yamesemwa na mefanya,amesikia kilio na kelele za wanachama nchi nzima,na hapa JF ndipo anapoona mwenyewe kwa miaka kadhaa.Anajua hakuna tena mahali mambo yatakuwa km zamani.Km wenzie wanakumbuka mazuri yake ndio maana wakafunga mjadala,ndio maana wanataka pawe na graceful sepration ili heshima zibaki kadiri mtu alivyoweza heandl haya mambo.
 
Hii busara wanayo sana....wat wanamihemko ya kisiasa kama nini..? ila mwisho wake tutauona tu
 
We sijui ndo umeandika nini bandiko lako limekaa kinafiki na kishabiki zaid fanya mambo yako achana na Zitto sio saizi yenu huyo.
 
Kutwa anahangaika na media ili apate msamaha wa jamii. Cha ajabu, pamoja na kutumia media kwa nguvu, jamii bado inaunga mkono maamuzi ya kamati kuu.

Ukitoka na kuuliza watu kumi, kama sample ya research. .. watu tisa wa wanakubali maamuzi hayo.

Mm ni msaliti na itabaki kuwa hivyo hata kama ndio anaongoza kufanya mikutano.
 
Waraka Original Mmeutoa wenyewe mmeona watu wameunga Mkono sana mnajifanya eti Huo ni Feki.
Jiulize kama Waraka hujauona imekuaje unaamini Zitto alikosea wakati huo 'Original' haujatoka kigezo gani kimekufanya kuamini JUU YA WARAKA AMBAO HUJAUONA wala kusomewa Contents zake zote? Tangu lini Mbowe amhurumie Zitto?

Mmmelianzisha wenyewe kunyweni ila Mkome kusingizia CCM makosa yenu maana hata zile Like alizokuwa anazitoa Slaa kwenye Waraka feki baadae alisema ni watu wa TISS na CCM. Mnajiita Wana Demokrasia halafu mnalazimisha Mwenyekiti APITISHWE kama vile Tenga alivokuwa ana force kumpitisha Nyamlani kwa kuzuia Wapinzani wake. Acheni kutumia Ruzuku za Wananchi muone kama tutafuatilia Mfumo wenu wa kugawana Vyeo. HAPO kuna Kodi zetu lazima tupinge Ufedhuli wa kugawana Vyeo kama Mbege
 
Aisee chadema ni chama cha ajabu sana.

Hivi kweli kabisa haya ndio mashitaka ya nayo mkabili zitto serious?

Hivi kweli ya mashitaka yalipitiwa kabisa na yakaidhinishwa?
Hivi kati ya Godbless J Lema na Zitto nani anamkashifu mwenzie?

Hivi ni lini na ni wapi zitto alimkashifu leiman?

Chadema mnataka tuu kumkuza lema,hana uwezo wa kupambana na zitto hata mara moja.

Kila mtu anajua lema ndio ana mkashifu zitto kila leo.

Mtu yeyote akiangalia hayo makosa ataona ni makosa yanayo fanana sema wameyagawa tuu na ni wazi kamati kuu imefanya maamuzi ya kijuha

hapo hilo kosa la ukabila ukanda na kumkashifu mwenye kiti nayo hayana msigi kabisa.

Chadema walikuwa wa kwanza kushangilia mnyika alipo muita jk dhaifu sasa leo imemuuma mbowe kuambiwa ukweli, hivi mbowe anafikiri jk ana roho ya chuma.

Shitaka la ukabila,udini na ukanda wamekuwa wakilipinga majukwaani na leo wana kiri heti lipo na wanaanza kumsingizia zitto.

Kwa mashitaka haya zitto atawashinda na wata mfukuza kilazima.

Siamini kama haya mashitaka yamepitiwa na wanao jiita kamati kuu.
 
Last edited by a moderator:
Kutwa anahangaika na media ili apate msamaha wa jamii. Cha ajabu, pamoja na kutumia media kwa nguvu, jamii bado inaunga mkono maamuzi ya kamati kuu.

Ukitoka na kuuliza watu kumi, kama sample ya research. .. watu tisa wa wanakubali maamuzi hayo.

Mm ni msaliti na itabaki kuwa hivyo hata kama ndio anaongoza kufanya mikutano.

Hiyo Research itakuwa imefanyika Sebuleni kwa Mtei na Cordinator alikuwa Mkwewe Disco jorker
 



mimi kidogo ninashida na eneo hili, hivi muheshimiwa lema alivyotoa tuhuma hapa jf dhidi ya zzk ilikuwa kwenye kikao? Na hatua zipi amechukuliwa juu ya hilo? Na hapa ndipo tunapotoa nafasi ya lugha za "ubaguzi", "vibaraka wa mbowe" na mengi mengineyo, kuna wakati tunapaswa kuwa critical na tuweke mapenzi kando.

hapa ndio utajua chadema wana tatizo kubwa kabisa,yani lema leo anaonekana ndio aliyo kuwa ana kashifiwa wakati yeye ndio alikuwa ana kashifu.

Kweli chadema wanaendesha chama kama duka la kandambili.

Hivi huyu kijana wa mtei ni lini alikashifiwa na zitto?

Labda kama wa lema bwana Mungi atukumbushe.
 
Last edited by a moderator:
We sijui ndo umeandika nini bandiko lako limekaa kinafiki na kishabiki zaid fanya mambo yako achana na Zitto sio saizi yenu huyo.

Wala hawezi kuwa size yetu..ni saizi yenu ndio maana mnamwabudu.Hapa nakupa ch akuchagua..km unaona ndio nafasi yako ya kutaka kuachana vibaya kabisa,basi jipime sana.Jipime sana ktk mapito yako hatari uliyoyapita kutaka bomoa chama.Walichokuachia usidhani kinatosha kujisifu km akili yako ya ndege inavyokuongoza.
 
Nimegundua watu wanachuki binafsi na Zito,hawataki ukweliii:vijana Wachadema si walisema Shibuda aliwaambia kipindi kile kesi ya Ugaidi,Waseme wametumwa na Mbowe na Slaa,ukitaka kujua ni unafiki wa kina Kileo na wenzao ndo huu,kwa akili ya kawaida kama yale maneno yana ukweli nani anakigawa CHAMA?????????
Tuache UNAFIKI
Samahani lakini,nirudi katika waraka nimeusoma huu waraka mara nyingi,sioni tatizo,zaidi ya kuwa na mambo mazuri kwa Chadema yenye afya kama yatafanyiwa kazi,bila hata Zito kuwa kiongozi,mimi kutoka Moyoni nataka Slaa na Mbowe waondoke katika Uongozi,pia Zito asiwe kiongozi wote wabaki kuwa washauri na wajumbe
Nakubali Zitto Kabwe ana Udhaifu wake lakini Mbowe na Slaa sio Malaika!
Swali kwa Wadau maana huu waraka tumejadili kihisi kumuhusu Zitto wakati yeye ajauandaa,Je ikitokea ukakamatwa waraka unamuhusisha Mbowe kutaka kusiwe na Ukomo katika nafasi ya Uenyekiti je mbowe achukuliwe Hatua gani????

We kalaga bao,waliouandaa Dr.Kitila amekiri kufanya makosa na kuomba radhi.Unapotaka kujadili kitu jichukulie wewe ni mmoja wa viongozi chadema,kila anza kusoma huo waraka uone kama utaridhika nao!
 
Waraka Original Mmeutoa wenyewe mmeona watu wameunga Mkono sana mnajifanya eti Huo ni Feki.
Jiulize kama Waraka hujauona imekuaje unaamini Zitto alikosea wakati huo 'Original' haujatoka kigezo gani kimekufanya kuamini JUU YA WARAKA AMBAO HUJAUONA wala kusomewa Contents zake zote? Tangu lini Mbowe amhurumie Zitto?

Mmmelianzisha wenyewe kunyweni ila Mkome kusingizia CCM makosa yenu maana hata zile Like alizokuwa anazitoa Slaa kwenye Waraka feki baadae alisema ni watu wa TISS na CCM. Mnajiita Wana Demokrasia halafu mnalazimisha Mwenyekiti APITISHWE kama vile Tenga alivokuwa ana force kumpitisha Nyamlani kwa kuzuia Wapinzani wake. Acheni kutumia Ruzuku za Wananchi muone kama tutafuatilia Mfumo wenu wa kugawana Vyeo. HAPO kuna Kodi zetu lazima tupinge Ufedhuli wa kugawana Vyeo kama Mbege
Leo Mwigulu Nchemba ,katiba aibu sana kwani kaja na Breaking news hapa kuwa Benson Kigaila amenusurika kuuwawa Kigoma, sijui kamuua nani huko akifikiri ni Kigaila.......
 
Hiyo Research itakuwa imefanyika Sebuleni kwa Mtei na Cordinator alikuwa Mkwewe Disco jorker

unanikumbusha ile mijeba ya zamani iliyokuwa inamaliza class 7 ikiwa na km miaka 23, ilikuwa ikiona kijana katoka mjini inafikiria kupigana..na km ni mdogo basi wakimpiga halafu akalia basi yote hucheka kwa pamoja out of curiosity km manyani..kumbe analia hivi...hahaha.....km ni binti basi hufikiri mbaka.Ikitoka hapo hujisifu..ndio maana mingi ilikuwa sana ukimwi

sioni wapi mnatofautiana maCCM.Anaything ktk CCM mnapiga makofi, Chochote cha CDM mnazome na kufanya mizaha ya kijinga km manyani yaliyoshiba ndizi.

Ulichoandika lumumba yote yanacheka tuu...wala hayajiulizi usahihi wake.
 
km albato kajitoa hivi.Kajaribu kuwa graceful kidogo.Sijui kwanini hakumpa mteja wake?

Kutoka facebook,leo Msando kaandika hivi....I have a clear conscience. I don't regret the path I have taken. That's where my heart was. But I also have my mind. I will follow my mind....
Emotions aside, friendship aside I think sobriety can't prevail. In a situation where some feel they have a higher moral ground than the rest it is impossible to reach a compromise.
But, do I really want to compromise a principle? No I don't. I won't sleep. Even if no one else knows it, one person will know; that person will be me.
I will stand on what I believe on. By giving up it doesn't mean that I have abandoned my belief. No! It means I have traded my belief for peace.
Yes. That's my trade. It's worth it.
 
Back
Top Bottom