Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Hivi wale walio nyuma yake, yule mkuu wa kitengo cha mawasiliano ikulu hayupo??
Inafurahisha kabla ya kushangaza na baadaye inachekesha !!!!sio steven seaga ni anord swaznigar!
Hii sio photoshop kweli? Hicho kichwa cha mkulu sio kimebandikwa?
Angalia hata mikono ni ya whiteman.
Hii sio photoshop kweli? Hicho kichwa cha mkulu sio kimebandikwa?
Kha nyie hebu mwacheni baba wa watu jamani.....hizi opportunity never come twice atii....lol
Fursa gani hizo??
sio steven seaga ni anord swaznigar!
Hivi mbona sijawah kuona mkwele akipa kapga picha na king majuto au muhidin gurumo?