Hivi haya ni kweli kuhusu Popo Bawa?

Hivi haya ni kweli kuhusu Popo Bawa?

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,274
Reaction score
5,204
Wahenga wanadai mwanzo wa miaka ya 90 kuna mganga flani Ustadh Zenji alimvumbua Popo Bawa.

Lakini akashindwa kumdhibiti. Unaambiwa PB alimuanzia yeye kwa kumfumua marinda.

Akatoka kwenye enclosure unaambiwa Zenji maeneo ya mji mkongwe Jang'ombe huko alikuwa akitifua tope laana. Yeye anacheza na wanaume tu.

Akavuka bahari unaambiwa alivyokuwa akivuka wavuvi nao hawakupona tatua rindaz hadi Bagamoyo.

Bagamoyo alipita kote hadi Dar magogoni kote huko ni mwendo wa kutatua.

Cha kushangaza wahenga wanadai PB alikuwa selective sana. Yeye alikuwa anawavua ubingwa wanaume Kobaz tu.

Halafu utatuaji wake ulikuwa Zenji, Dar na Pwani tu.

Akishatatua anakupa masharti utangaze umetatuliwa. Ukikaidi anarudi tena mara ya pili hadi ya tatu.

Ukishupaza mara ya tatu anakupachika mimba ya bandia.

Wanadai PB anapotea(ga) kwa muda halafu anaibuka.

Source; story za vijiweni.
 
Hizi ni ngano tu(urban legends). Stori ambazo ziliburudisha watu kipindi hamna tv.

Nilivyosimuliwa mimi ni kwamba kuna kobaz alichapiwa mke, akaenda kwa mganga ndo akapewa hilo pepo alitume kwa mbaya wake.

Lile pepo likawa na nguvu sana likamshinda likawa linafanya litakavyo.

Wanasema eti lina "mijegejo" mitatu; mmoja wa kawaida, mmoja wa miba miba, mwingine sijui wa nini nimesahau...

Haina tofauti sana na stori za wale succubi, incubi, sirens na nymphs wa wazungu zama hizo za kuamini sana uchawi.
 
the popobawa saga was fictional.. jamaa walioitengeneze hii "picha" walikuwa smart sana, it seems that walifanikiwa kutengeneza hofu kwa jamii (waka-create demand) then wakaisambaza, kisha after sometime wakasema wanayo solution (waka-create supply)

Washkaji, nadhani walipiga pesa mingi kipindi hicho.
They were very smart entrepreneurs. Kudos to them
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom