Haya ndio matokeo yangu kidato cha VI&DIPLOMA.

Na nilikuwa na diploma ya GPA2.8 Nikawa cna vigezo nkarudia pepa mungu c at human nkafauru vzr kabisaa,uckate tamaa mungu yupo na anatazama hitaji LA moyo wako atakutetea na kukusaidia tu (ucvunjike moyo) na nakuombea ucbadili mawazo ya kusoma
na walakini na ulichokisema hapa vigezo vimebadilishwa mwaka jana wew umefanya mtihani wa kidato cha sita lini....
 
Amani iwe kwenu wapendwa,


nilikuwa na malengo ya kuanza masomo yangu ya elimu ya chuo kikuu mwaka huu lakini kutokana na matokeo yangu na kuongezwa kwa alama za kujiunga na chuo kikuu nimekosa cha kufanya wapendwa naomba mnipanue mawazo kwa hili

Kidato cha sita nina daraja la tatu pointi 14 yaani nina DEE Masomo ya sanaa na wakati huo chuo kikuu wanataka D mbili

Diploma yangu ya sheria nina GPA ya 2.9 ambapo ili ujiunge na chuo wanataka GPA Ya 3, ikumbukwe kuwa waziri wa katiba na sheria ametupa muda wa miaka mitano mahakimu wote wenye diploma tuwe tumejiendeleza,je nifanyeje wapendwa, naona kama kazi yangu inaenda kunikimbia



Kazi ya hapo kiongozi ni ndogo sana, Jisajiri masomo ya KIDATO cha SITA yote kama Private Candidate,Piga Pepa,utapata hata dv II,unaenda zako chuo moja kwa moja. Mimi ilikuwa hivyo na jamaa zangu kama watatu hivi,tulipiga Dv. ONE tukajiunga UDSM kiulainiii,bila hivyo kiongozi hutoki.Kwa maelezo zaidi nitafute:mamboleongoroto@yahoo.com
 
Duuh sasa mnatupa Kazi ngumu nyie jamaa
Hizo GPA tunajua sio ishara ya uelewa ila linapokuja suala la kitaaluma aisee ulitakiwa kutusua hata 3.8 tu sasa ona unataka tushiriki kukushauri kitu ambacho hakiwezekani

Labda nenda urudie paper la six upate principal pass moja wanayotaka ili ziwe D mbili

Ila six msuli wake sina hamu nao kabisa

umenigusa hapo kwenye msuli wa six dah yani ningefeli enzi uzo kamwe nisingerudia paper maana nilijitoa kutusuabna nisingetusua basi nisingeweza kutusua tena Mungu mkubwa nikatusua
 
na walakini na ulichokisema hapa vigezo vimebadilishwa mwaka jana wew umefanya mtihani wa kidato cha sita lini....
Nimefanya mtihan last year na hiyo ilikuwa advance kwangu ni kama mungu aliniongoza vile na baada ya kubadili mwelekeo wizara ya elimu ckupata shida cause Tatar nilikuwa na matokeo mengine nikatumia hayo ya kidato cha sita.
 
Mm nakushauri nenda hata kenya au uganda ukasome iyo degree yko kwa hiyo hiyo gpa. Kwa vyuo vya ndani hautakubaliwa kwa sasa coz TCU wanataka 3.0
Nafikili jibu lake limepatikana hapa .

To accomplish much you must first lose everything..
 
Ushaur wangu nenda ukasome chuo kikuu mzumbe kwa kupitia mature entry kama una miaka zaid ya 25 na una experience na field yako, mature entry sifa za kujiunga zimelegezwa

Sent from koromije using bashite
 
Labda kurudia paper la six au uende chuo cha nje mkuu sasa hata ukienda kusoma nje ukija bongo TCU watakwambia degree yako sio valid maana hukua na sifa, kumbuka wale wanaokimbilia Uganda ilihali Form four wamefeli, wakitoka huko na One zao za form six wanakataliwa hapa Tz maana hawakua na sifa za kusoma advance
Acha kupotosha umma ww nani kakwambia ukisoma nje eg Uganda ukirudi degree yako haikubaliki na TCU kuna proces za kufuata ili itambulike ndani ya Tz na TCU wenyewe wanathibitisha,ila usidanganye kwa kitu ambacho ukijui.
 
Acha kupotosha umma ww nani kakwambia ukisoma nje eg Uganda ukirudi degree yako haikubaliki na TCU kuna proces za kufuata ili itambulike ndani ya Tz na TCU wenyewe wanathibitisha,ila usidanganye kwa kitu ambacho ukijui.
Soma post yangu vizuri uone kama nimepotosha au wewe ndo umekurupuka kujibu usichokielewa.

Kuna tofauti ya kusoma degree uganda na ukawa ulifaulu form four Tanzania, endapo ulifeli form four Tanzania ukakimbilia Uganda ukasoma degree, ukirudi Tanzania degree yako sio valid maana form four (Tanzania) ulifeli na hukua na sifa za kusoma degree.

Sasa kama ulikurupuka kuni-quote nakushauri urudi juu kusoma upya.

Kama RAM yako ni ndogo pita kando.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Back
Top Bottom