digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,892
- 14,346
- Thread starter
- #121
Rudia mawiliVipi nikisema nirudie somo moja hapo kutafuta D moja naweza sajiriwa chuo kikuu?
Vipi ulipataje matokeo yako? Mwenzio kaweka take hadharaniKUNA WATU VILAZA, 2.9?
Naam Mkuu!
Sasa mbona znafanana.Mkuu ni GPA ya 2.9 na sio 2.2
Kwa nn
Naiogopa five na six mpaka Leo, yaani bora nirudie O'level na Chuo ila sio advance
Ile Shule ni hatari
Watu wa mtazamo wako ni hatari sana kwa taifaMkuu , diploma tena ya course za art subject una gpa ya 2.9 pole sna sna unaonekana ulikua unapenda kuuuza sura chuo na kubadil wanawake
Mkuu nimecheka sana aisee ilikua comb gani maana kuna vitu ni kisanga ucombe kitu physics namba eeeeh ni sheeda
Naiogopa five na six mpaka Leo, yaani bora nirudie O'level na Chuo ila sio advance
Ile Shule ni hatari
Amina sana mpendwa, wacha nijiandae kwa hill mkuukaka usizunguke sana subiri mwakani ufanye mtihani wa RPL ukifaulu unakwenda chuo moja kwa moja, mtihani huo upo kwa wale ambao hawana sifa but wamekaa kazini atleast miaka 3, ndio mtihani alioufanya Eric shigongo na sasa hivi ndo anaenda chuo so usikate tamaa brother , pambana wewe bado kijana mdogo tu , Mung akubariki sana kaka
Amina sana mpendwa, wacha nijiandae kwa hill mkuu
Vipi mkuu umefikia wapi na ishu yako
silent_ocean
Mkuu bora ww ulitoka vizur watu wengine wanakomaa lkn ndo ivo so usimdharau mtu kwa hicho alichovunaMkuu , diploma tena ya course za art subject una gpa ya 2.9 pole sna sna unaonekana ulikua unapenda kuuuza sura chuo na kubadil wanawake