Haya ndio mateso matano yanayotesa watu wengi, kila mtu huyapitia kwa namna na jinsi yake, ni ngumu kuyakwepa

Haya ndio mateso matano yanayotesa watu wengi, kila mtu huyapitia kwa namna na jinsi yake, ni ngumu kuyakwepa

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
935
Reaction score
3,014
MAHUSIANO - Kuna watu wanapigania sana mahusiano yao yasivunjike, kuna waliochoka na mahusiano wanatafuta mlango wa kutokea lakini hawauoni mlango wa kutoka, wengine wana kiu ya mahusiano wanautafuta mlango wa kuingilia lakini hawauoni, watu wanasalitiwa na kuachiwa vidonda vya milele, mtu unampa kila kitu anachohitaji lakini wapi.

1744579626248.png


MADENI - Oyaaa sio poa ! Kuna watu wanateseka sana kwasababu ya kushindwa kulipa madeni, Mtu anachelewa kurudi kwake usiku ili kukwepa wanaomdai, mtu hana uhuru na simu yake anaizima kukwepa wanaomdai, Mtu anakosa amani ya kupita barabarani anakatiza vichochoroni, n.k. Wengine wanateseka kwasababu wanadai hela zao, kila ukienda kwa mtu unaemdai anaruka ukuta, mtu unaemdai ameku block simu isipatikane, mtu unaemdai anakwambia wewe fanya lolote ila hana pesa halafu mbaya zaidi awe ndugu yako, duh !!




MAAMUZI ULIYOWAHI KUYAFANYA ZAMANI - Maji yakishamwagika hayazoleki, maamuzi yana uzito mkubwa katika maisha, unatamani kurudi nyuma urekebishe baadhi ya vitu ulivyovifanya lakini muda umekata, Wapo waliotumbukia kwenye matatizo ya kiafya kutokana na maamuzi mabovu kwenye starehe na anasa za ujana, Wapo walioporomoka kiuchumi kwa sababu ya tamaa ya kupata utajiri wa ghafla au kushindwa kupanga maisha yao vizuri, Wengine wapo nyuma ya nondo gerezani wakihesabu miaka kwa majuto ya maamuzi.

1744579926602.png


KIPATO KISICHOKIDHI MAHITAJI - Watu wengi huamka asubuhi wengine hawalali usiku kwajili ya kutafuta kipato, wengine kwa njia halali wengine kwa njia zisizofaa lakini wimbo umebaki kuwa ule ule kwa miaka mingi, HELA HAITOSHI !! Umegeuka Jet Lee wa kuruka madimbwi kipindi cha mvua kwasababu huwezi kununua usafiri, Mchana unapiga dash bila kula ili ubane nauli kwasababu bajeti ni ndogo, Mwanafunzi mwenye akili hawezi kusoma chuo kwasababu kakosa mkopo na kwao hakuna pesa, n.k. Pesa sio kila kitu lakini hutatua matatizo mengi.



KESHO ITAKUWAJE - matatizo yanapokuwa makubwa akili inachowaza unapoenda kulala ni "Kesho itakuwaje", hali hii hupelekea msongo wa mawazo na magonjwa ya moyo, presha, kisukari, n.k. Mahusiano yako hayaeleweki unahisi unasalitiwa na hujui kama yatadumu, Madeni yamekuwa mzigo yamekuwa kivuli kinachokufuata kila kona, Kipato hakitoshi kila shilingi ina kazi nyingi, Maamuzi ya zamani bado yanakufuata kama mzimu yakikukumbusha kila mara kwamba baadhi ya njia hazikustahili kupitiwa. unatafuta njia ya haraka ya kutoroka ukweli, wengine wanajitumbukiza kwenye ulevi, mahusiano mapya, Kukopa zaidi, kucheza kamari, kujiingiza kwnye uhalifu, kwenda kwa waganga, n.k. wakidhani watapunguza matatizo kumbe wanayaongeza zaidi.

1744581725400.png
 
MAHUSIANO - Kuna watu wanapigania sana mahusiano yao yasivunjike, kuna waliochoka na mahusiano wanatafuta mlango wa kutokea (Exit Strategy) lakini hawauoni mlango wa kutoka, wengine wana kiu ya mahusiano wanautafuta mlango wa kuingilia lakini hawauoni, watu wanasalitiwa na kuachiwa vidonda vya milele, mtu unampa kila kitu anachohitaji lakini wapi.

View attachment 3303388

MADENI - Oyaaa sio poa ! Kuna watu wanateseka sana kwasababu ya kushindwa kulipa madeni, Mtu anachelewa kurudi kwake usiku ili kukwepa wanaomdai, mtu hana uhuru na simu yake anaizima kukwepa wanaomdai, Mtu anakosa amani ya kupita barabarani anakatiza vichochoroni, n.k. Wengine wanateseka kwasababu wanadai hela zao, kila ukienda kwa mtu unaemdai anaruka ukuta, mtu unaemdai ameku block simu isipatikane, mtu unaemdai anakwambia wewe fanya lolote ila hana pesa halafu mbaya zaidi awe ndugu yako, duh !!


View attachment 3303391

MAAMUZI ULIYOWAHI KUYAFANYA ZAMANI - Maji yakishamwagika hayazoleki, Kuna vitu ukivifanya utavijutia na hutaweza kuvibadilisha, Kuna watu wapo wanapitia changamoto za kiafya kwajili ya starehe za ujanani, kuna watu wanapitia changamoto za kiuchumi kwasababu ya maamuzi waliyowahi kuyafanya, wapo walio nyuma ya nondo kwasababu ya maamuzi waliyowahi kuyafanya.

View attachment 3303392

KIPATO KISICHOKIDHI MAHITAJI - Watu wengi huamka asubuhi wengine hawalali usiku kwajili ya kutafuta kipato, wengine kwa njia halali wengine kwa njia zisizofaa lakini wimbo umebaki kuwa ule ule kwa miaka mingi, HELA HAITOSHI !! Umegeuka Jet Lee wa kuruka madimbwi kipindi cha mvua kwasababu huwezi kununua usafiri, Mchana unapiga dash bila kula ili ubane nauli kwasababu bajeti ni ndogo, Mwanafunzi mwenye akili hawezi kusoma chuo kwasababu kakosa mkopo na kwao hakuna pesa, n.k. Pesa sio kila kitu lakini hutatua matatizo mengi.


View attachment 3303393

KESHO ITAKUWAJE - Shida zisikiage tu kwa wengine ila usiombee zikukute, akili inachowaza kila unapoenda kulala ni "Kesho itakuwaje" kila siku inayofuata mambo magumu nafuu ya leo, Mahusiano yako hayaeleweki, hujui hatma ya madeni yako, Kipato chako hakitoshi kutatua tatizo jipya, maamuzi uliyowahi kuyafanya yanazidi kukuandama, n.k. Ni stress zinazokufanya uwe kama bundi usiku
Nina mafuta ya upako, kwenye hizo shida unapenya kirahisi sana .

Isaya 10:27
[27]Tena itakuwa katika siku hiyo mzigo wake utaondoka begani mwako, na nira yake shingoni mwako, nayo nira itaharibiwa, kwa sababu ya kutiwa mafuta.
And it shall come to pass in that day, that his burden shall be taken away from off thy shoulder, and his yoke from off thy neck, and the yoke shall be destroyed because of the anointing.
 
Ukitazama ni yupi anahitaji na yupi amenyimwa kati yao
Toa sababu kwa jibu lako
1744625647196.png
 
MAHUSIANO - Kuna watu wanapigania sana mahusiano yao yasivunjike, kuna waliochoka na mahusiano wanatafuta mlango wa kutokea lakini hawauoni mlango wa kutoka, wengine wana kiu ya mahusiano wanautafuta mlango wa kuingilia lakini hawauoni, watu wanasalitiwa na kuachiwa vidonda vya milele, mtu unampa kila kitu anachohitaji lakini wapi.

View attachment 3303388

MADENI - Oyaaa sio poa ! Kuna watu wanateseka sana kwasababu ya kushindwa kulipa madeni, Mtu anachelewa kurudi kwake usiku ili kukwepa wanaomdai, mtu hana uhuru na simu yake anaizima kukwepa wanaomdai, Mtu anakosa amani ya kupita barabarani anakatiza vichochoroni, n.k. Wengine wanateseka kwasababu wanadai hela zao, kila ukienda kwa mtu unaemdai anaruka ukuta, mtu unaemdai ameku block simu isipatikane, mtu unaemdai anakwambia wewe fanya lolote ila hana pesa halafu mbaya zaidi awe ndugu yako, duh !!


View attachment 3303391

MAAMUZI ULIYOWAHI KUYAFANYA ZAMANI - Maji yakishamwagika hayazoleki, Kuna vitu ukivifanya utavijutia na hutaweza kuvibadilisha, Kuna watu wapo wanapitia changamoto za kiafya kwajili ya starehe za ujanani, kuna watu wanapitia changamoto za kiuchumi kwasababu ya maamuzi waliyowahi kuyafanya, wapo walio nyuma ya nondo kwasababu ya maamuzi waliyowahi kuyafanya.

View attachment 3303392

KIPATO KISICHOKIDHI MAHITAJI - Watu wengi huamka asubuhi wengine hawalali usiku kwajili ya kutafuta kipato, wengine kwa njia halali wengine kwa njia zisizofaa lakini wimbo umebaki kuwa ule ule kwa miaka mingi, HELA HAITOSHI !! Umegeuka Jet Lee wa kuruka madimbwi kipindi cha mvua kwasababu huwezi kununua usafiri, Mchana unapiga dash bila kula ili ubane nauli kwasababu bajeti ni ndogo, Mwanafunzi mwenye akili hawezi kusoma chuo kwasababu kakosa mkopo na kwao hakuna pesa, n.k. Pesa sio kila kitu lakini hutatua matatizo mengi.

View attachment 3303396

KESHO ITAKUWAJE - Shida zisikiage tu kwa wengine ila usiombee zikukute, akili inachowaza kila unapoenda kulala ni "Kesho itakuwaje" kila siku inayofuata mambo magumu nafuu ya leo, Mahusiano yako hayaeleweki, hujui hatma ya madeni yako, Kipato chako hakitoshi kutatua tatizo jipya, maamuzi uliyowahi kuyafanya yanazidi kukuandama, n.k. Ni stress zinakufanya upanic, kujiingiza kwenye vilevi kukandamiza mawazo na hata kukupa magonjwa ya moyo na presha.

View attachment 3303399
Ongezea hapo NO REFORMS NO ELECTION. Hii kauli imewatesa sana watawala wa nchi mpaka wameamua kurusha mabomu ya machozi na kuwaweka watu ndani
 
MAHUSIANO - Kuna watu wanapigania sana mahusiano yao yasivunjike, kuna waliochoka na mahusiano wanatafuta mlango wa kutokea lakini hawauoni mlango wa kutoka, wengine wana kiu ya mahusiano wanautafuta mlango wa kuingilia lakini hawauoni, watu wanasalitiwa na kuachiwa vidonda vya milele, mtu unampa kila kitu anachohitaji lakini wapi.

View attachment 3303388

MADENI - Oyaaa sio poa ! Kuna watu wanateseka sana kwasababu ya kushindwa kulipa madeni, Mtu anachelewa kurudi kwake usiku ili kukwepa wanaomdai, mtu hana uhuru na simu yake anaizima kukwepa wanaomdai, Mtu anakosa amani ya kupita barabarani anakatiza vichochoroni, n.k. Wengine wanateseka kwasababu wanadai hela zao, kila ukienda kwa mtu unaemdai anaruka ukuta, mtu unaemdai ameku block simu isipatikane, mtu unaemdai anakwambia wewe fanya lolote ila hana pesa halafu mbaya zaidi awe ndugu yako, duh !!


View attachment 3303391

MAAMUZI ULIYOWAHI KUYAFANYA ZAMANI - Maji yakishamwagika hayazoleki, Kuna vitu ukivifanya utavijutia na hutaweza kuvibadilisha, Kuna watu wapo wanapitia changamoto za kiafya kwajili ya starehe za ujanani, kuna watu wanapitia changamoto za kiuchumi kwasababu ya maamuzi waliyowahi kuyafanya, wapo walio nyuma ya nondo kwasababu ya maamuzi waliyowahi kuyafanya.

View attachment 3303392

KIPATO KISICHOKIDHI MAHITAJI - Watu wengi huamka asubuhi wengine hawalali usiku kwajili ya kutafuta kipato, wengine kwa njia halali wengine kwa njia zisizofaa lakini wimbo umebaki kuwa ule ule kwa miaka mingi, HELA HAITOSHI !! Umegeuka Jet Lee wa kuruka madimbwi kipindi cha mvua kwasababu huwezi kununua usafiri, Mchana unapiga dash bila kula ili ubane nauli kwasababu bajeti ni ndogo, Mwanafunzi mwenye akili hawezi kusoma chuo kwasababu kakosa mkopo na kwao hakuna pesa, n.k. Pesa sio kila kitu lakini hutatua matatizo mengi.

View attachment 3303396

KESHO ITAKUWAJE - Shida zisikiage tu kwa wengine ila usiombee zikukute, akili inachowaza kila unapoenda kulala ni "Kesho itakuwaje" kila siku inayofuata mambo magumu nafuu ya leo, Mahusiano yako hayaeleweki, hujui hatma ya madeni yako, Kipato chako hakitoshi kutatua tatizo jipya, maamuzi uliyowahi kuyafanya yanazidi kukuandama, n.k. Ni stress zinakufanya upanic, kujiingiza kwenye vilevi kukandamiza mawazo na hata kukupa magonjwa ya moyo na presha.

View attachment 3303399
Pole sana kwa hayo mambo zaidi kupambana na kumuomba MUNGU atakubariki
 
Hiyo namba mbili "MADENI" ebanaeeh acha kabsa. Ulishawahi kutamani watu wakupeleke tu mahakamani au hata polisi basi. Mtu anakutia kashikashi adi unaiona dunia chungu. Hakushtaki popote ila mtiti wake ni balaa. Kukimbia huwezi maana ulipo ndo kituo chako cha kazi, Mzee...!
 
Back
Top Bottom