Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Ana matatizo huyo......
Kitu kiko mwake mbaya!
Najua hizo ukipiga 5 ni balaa unatoa vitu vyeusiiiii.
Lakini jamaa anaona chungu umeona alivyo kaza uso.
Ana matatizo huyo......
Kitu kiko mwake mbaya!
Jakaya Mrisho Kikwete ni Muislamu (going by the name), na Waislamu "safi - siyo majina" hawatumii "vileo" - right?
Kaka mbona kama unaonekana unapenda nipasho,andika kinachoeleweka,jipambanue,na kama ujui ueleweshwe,but wory out utajua kidogo kidogoKoh! koh! koh!... MMhm!
Sijui kama ni swala la kidini, au la kiafya, au mazoea au kakatazwa na mama yake.Je waislamu kwani wanashiriki hii kitu?
JK vipi sio mbumbumbu sembuse ..........hivi jamaa na kitu chake kumbe ni walevi?
ndiyo si muogaJakaya Kikwete hawezi kunywa pombe hadharani.
Ana matatizo huyo......
Kitu kiko mwake mbaya!
Sijui kama ni swala la kidini, au la kiafya, au mazoea au kakatazwa na mama yake.
Na sitaki kujua kinachomsukuma kuwa mfano bora dhidi ya viongozi walevi, ila ukweli unabaki kwamba katika anasa za mwili, Kikwete amekuwa moral compass thabiti kwa viongozi anaowaongoza; huwezi kumkuta Kikwete na kombe la pombe hadharani.
![]()
Jakaya Kikwete hawezi kunywa pombe hadharani.
Sijui kama ni swala la kidini, au la kiafya, au mazoea au kakatazwa na mama yake.
Na sitaki kujua kinachomsukuma kuwa mfano bora dhidi ya viongozi walevi, ila ukweli unabaki kwamba katika anasa za mwili, Kikwete amekuwa moral compass thabiti kwa viongozi anaowaongoza; huwezi kumkuta Kikwete na kombe la pombe hadharani.
![]()
kilaa mtu na staree yake,kwani ya jakayaa haifanyiwii azarani...Jakaya Kikwete hawezi kunywa pombe hadharani.