Haya Ndio Magari ninayoyakubali sana

Haya Ndio Magari ninayoyakubali sana

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
13,187
Reaction score
20,640
Haya ndio magari ninayo yakubali kuliko magari yoyote iwapo ningekuwa nina mihela kwenye yadi yangu yasingekosekana.Ninapenda magari mapana yenye body kubwa na pia yale imara na magumu ambayo yapo toka enzi kama Landrover 109 na 110

1)Landcruiser vx au gx

2017_Toyota_Land_Cruiser_(VDJ200R)_GX_wagon_(2018-10-01)_01.jpg


ToyoLand1ffe2_f.jpg

2)Landcruiser Hard top
hzj78-rjmrs-13.jpg


hzj76-rkmrs-G1-1.jpg


3)Nissan Patrol
2014_Nissan_Patrol_(Y62)_ST-L_wagon_(2015-08-07)_02.jpg

1200px-2014_Nissan_Patrol_(Y62)_ST-L_wagon_(2015-08-07)_01.jpg


4)Range Rover

1200px-2002_Land_Rover_Range_Rover_Vogue_V8_Automatic_4.4_Front.jpg

5)Land Rover 109
424f3520ea0e2227774cc9b92497a2fa.jpg

Gari ni ngumu,imara na inafaa sana kwa kazi hasa kwenye rough road,bora niwe na hii kuliko Kirikuu.
ebefb862-5ab5-4d46-90d6-a75c53be6d0d.jpg

6)Landrover 110
225dccddbca2b7eca03f4c2c503489c8.jpg

220px-Land_Rover_Defender_110_Station_Wagon_2016_-_front.jpg


Haya ni baadhi tu ya magari ambayo kwangu nayaona ni the best.Pia yapo magari mazuri ya kifahari lakini siyakubali miongoni mwa magari hayo ni prado,benz,BMW,Rolls Royce na mengineyo.Hata Hutu tugari twingine tuToyota tulitojaa kila sehemu situkubali,kuna magari hata ningekuwa na hela siwezi nunua.

Na wewe weka orodha yako ya magari ambayo unatamani kuyamiliki.Maisha yenyewe ndio hayahaya tufanye tu kutamani vitu hivi hata kama hatuna uwezo
 
Mercedes benz g-wagon.
Nasubiri nivune shamba langu la miti hapa Sao Hill.
 
Back
Top Bottom