1989 ulikuwa vidudu!?, duh kumbe kuna watoto wadogo sana humu ndani. Lakini uzi wako mzuri sana unafikirisha na ni rahisi kwa tatizo husika kupatiwa majibu kwani umejitahidi sana kuliweka wazi tatizo linaloitesa jamii ya sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.