Haya mnayoyaona ya wanachuo kupigania bwana ni matokeo ya kutegemea G.PA za" chupi"

Haya mnayoyaona ya wanachuo kupigania bwana ni matokeo ya kutegemea G.PA za" chupi"

We
Elimu nchi hii siyo tu degrii za chupi ila ukabila na udini unaathiri sana elimu.
Mchaga lazima ampendelee mchaga na mhaya anapendelea sana wahaya wenzie.Muislam anapendelea muislam mwenzie kwa sababu anaamini wao wanaonewa sana!

Tunahitaji neema ya Mungu kubadili mambo.Ndio maana degrii za watanzania ni kama tu ubingwa wa yanga.
We uko dunia gani, acha kuzusha ujinga usiokuwepo. Chuo gani hicho, hakuna chuo cha namna hiyo, kila chuo kina michanganyiko wa karibu kila kabila. Sijui unaota ndoto gani. Hao wachaga na wahaya mnawataja tu wamejazana chuo gani? Mi nafahamu vyuo vikuu vyote nchi hii kwa details. Kuna vyuo hayo makabila ni machache na hawako kwenye uongozi, acheni kuishi kwa hisia mnakuza vitu ambavyo havipo
 
Sema una munkari sana mkuu nahisi mada hii ingekua face to face kuna mtu angepigwa hapa...

Watu wanaishi kwa kukalili tatzo
😇😇😇
Iam Innocent.

Nilikuwa nijipitie zangu tarativu sema nae kaamua kunitifua.

Nimealikwa na mshikaji kwenda kula fitr hii ya wakristo ngoja nisepe.

Akiketa za kuleta nitaenda kumfundisha ddake GPA💥🏌‍♂️
 
😇😇😇
Iam Innocent.

Nilikuwa nijipitie zangu tarativu sema nae kaamua kunitifua.

Nimealikwa na mshikaji kwenda kula fitr hii ya wakristo ngoja nisepe.

Akiketa za kuleta nitaenda kumfundisha ddake GPA💥🏌‍♂️
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Nasemaje mkuu... Wewe ni mtu mbad sana..

Naona ume mkanda jamaaa mpaka kapoa
 
Hovyo kabisa an uzi ujachangia mpaka ulivoona ile picha daaah

Kweli no reform no electricity
🤣🤣🤣🤣 vyupi sio mchezo mangi , nakula na kushiba jumlisha na tumazoezi , nikiona vyupi lazima akili isikae sawa tu😁
 
W
Ukiona yanayo fanyika na kinacho endelea vyuoni huwezi kushangaa ni kwanini tz tuna viongozi na watumishi wa uma wa hovyo.
Vyuo vya Tz vimegeuka kuwa sehemu ya kwenda kujifunzia umalaya na serikali ya ccm imekauka utadhani hawaoni.
We kima usituletee frustrations zako humu. Hakuna vyuo km hivyo. Kizazi cha laana nyie kila kitu kuzusha, shenzy bustard
 
Sio ujeuri tuu pia jamaaa ni mkorofi kinoma aiseee khaa
Dah maisha ya kuigiza sio pao kabisa , mimi niliamua kuyakataa kabisa niwe mkweli tu ,mwanzoni nikua naigiza ila uzuri mmoja mimi ni mfuasi wa meditation , ikafikia lipindi nipo real tu😅😅😅
 
Mwizi mkulu, tuheshimiane, kama una taka bifu bac liwe ni bifu tu, naeza nikakuhendo vizuri tu

Fara bbako

Iwe ni CCM ACT NCCR acheni kupachika watu malebo na kuwatukana mnaposhindwa na hoja, ama unataka nitembeze dislike kwa kila mwana CCM ndio ufurahi? Hijalishi, uwe CDM dislike, CCM, dislike.

Unajua mmkao alipataje GP.A yake ya chupi a lah?
Wewe ni kenge Tu na Huna la kufanya ..unataka bifu na Mimi? Nakuuliza tena kwa mara ya mwisho unataka bifu na Mimi?... Tuone sasa .
 
Back
Top Bottom