Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,364
- 15,148
- Thread starter
- #41
Hata wakitoa 15 kati ya 100 inatosha kuitwa G.P.A za chupiJamaa id yako inafanya nianze kukuogopa mbona unanifokea sasa....
Skia hakuna hizo vitu acha story za vijiweni..
Nambie chuo gani kina hayo mambo ambayo wanafunzi wanapata GPA za chupi.....
Unajua mchakato wa paper mpaka kufika UE alafu uje kusema mtu anatoa mbunye..
Oky hiyo mbunye watatoa wangapi.....