Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,106
- 37,641
Daaah umemaliza kabisa!
Good presentation. Asieelewa hapa ana ttz
Sent using Jamii Forums mobile app
Good presentation. Asieelewa hapa ana ttz
Wewe ulitakiwa kuwa Muhanga wa Mwamposa.
Bangi inashida gani; ? Ni ushamba wenu tu.
Ni zao kama zao lingine na Serikali inatakiwa kuhakikisha zao hili linauzwa kihalali na kutoa ajira kwa raia.
Mbona Pombe ni more dangerous na inauzwa kihalali na kuwapa watu ajira.
Acheni mambo yakipumbavu watizedi; Bangi ni ajira, Bangi ni chakula, Bangi ni dawa, Bangi ni divine consciousness, Bangi ni Mental Strength, Bangi ni blessing from Al mighty. Bangi is the way to humanity, Bangi is the way to truth of life itself.
90 % ya great beings pamoja na politicians wana vuta bangi na ndio wanawaongoza nyie mbululazi.
Ni ujinga wako wewe usiyejua namna ya kuitumia kwa ajili ya matokeo chaji;
Tangu uzaliwe ushawahi kusikia mtu amekufa kwa ku overdose Bangi ? Wake up
Kama unatumia Bangi kwa ajili ya recreational na fantasy zako basi lazima ikuharibu. Hata maji ni harmfully kama ukitumia pasipo mpangilio.
Vijana wengi wanavuta Bangi pasipo kujua why do they have to smoke; that is the most dangerous thing. Ndiyo maana wanaishia kuwa Maluza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app