Kumbe dada wajua sababu ni mdogo wako kujitunza,sasa unaomba ushauri gani tena!!
Bikira ipi
orijino japo hutoamini for 23 yrs girl kuwa bikra
ur the one.. kwa mujibu wa intelijensia yangu ya haraka..
jibu PM yangu tuweke mipango sawa.
Kaka Naona Unataka Ujenge Taifa Aisee
Haaaa masihara haya pipi ya kijiti mkuu nafikiria sana ujueorijino japo hutoamini for 23 yrs girl kuwa bikra
ur the one.. kwa mujibu wa intelijensia yangu ya haraka..
jibu PM yangu tuweke mipango sawa.
Haaaa masihara haya pipi ya kijiti mkuu nafikiria sana ujue
having that virgin..
don't u see my PM?
Ndiyo kaka fursa za wazi hizi
tehe tehe! haya bana
Salamu kwenu wanajamii! Nina mdogo wangu ana boyfriend wake, sasa huyo kaka huwa tunaongea naye kwa simu kusalimiana sasa tatizo liko hivi: nilimwomba mdogo wangu aje tujumuike pamoja krismasi, kwasabu ninakaa naye karibu ila wilaya tofauti, basi akaniambia atakuja na mchumba wake, basi akanipa nikaongea na huyo mchumbake akasema watakuja.
Wakaja tujumuika nao krismaa na familia yangu then wakarudi chuoni wanakosoma.
Sasa jamaa kanuna eti kisa hakutambulishwa kwangu na huyo mdogo wangu, na binti amechanganyikiwa baada ya jamaa kumwambia anabaki single kama zamani!
Nimshauri nini huyu mdogo wangu baada ya kuachwa? Mana kachanganyikiwa kweli! Sio utani huu...! Karibu kila mmoja kwa nafasi yake!!
Kweli Kabisa Yatupasa Kuzitumia Aiseee
Hili neno huwa linatumika sana na teenagers na adolescents ambao huwa hawajakua kiakili!