Salamu kwenu wanajamii! Nina mdogo wangu ana boyfriend wake, sasa huyo kaka huwa tunaongea naye kwa simu kusalimiana sasa tatizo liko hivi: nilimwomba mdogo wangu aje tujumuike pamoja krismasi, kwasabu ninakaa naye karibu ila wilaya tofauti, basi akaniambia atakuja na mchumba wake, basi akanipa nikaongea na huyo mchumbake akasema watakuja.
Wakaja tujumuika nao krismaa na familia yangu then wakarudi chuoni wanakosoma.
Sasa jamaa kanuna eti kisa hakutambulishwa kwangu na huyo mdogo wangu, na binti amechanganyikiwa baada ya jamaa kumwambia anabaki single kama zamani.
Nimshauri nini huyu mdogo wangu baada ya kuachwa? Maana kachanganyikiwa kweli! Sio utani huu! Karibu kila mmoja kwa nafasi yake.
Wakaja tujumuika nao krismaa na familia yangu then wakarudi chuoni wanakosoma.
Sasa jamaa kanuna eti kisa hakutambulishwa kwangu na huyo mdogo wangu, na binti amechanganyikiwa baada ya jamaa kumwambia anabaki single kama zamani.
Nimshauri nini huyu mdogo wangu baada ya kuachwa? Maana kachanganyikiwa kweli! Sio utani huu! Karibu kila mmoja kwa nafasi yake.