Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Huu uzi umekaa kichawi au kiwanga hivi. Nafikiri wachawi huwa wanaku kama fisi, kufuatilia mikono ya binadamu labda itaanguka. Hii mbaya.
Dr. Hamis Kigwangala - Nzega, Litakwenda kwa Hussein Bashe (CCM)
Hii tathimini nimeifanya kutokana na tabia zao na maisha wanayoishi,ongezea wa kwako!
Peter serukamba--kigoma--kiburi cha uzima(ushamba)
Abdala kigoda--Handeni--ulevi lazima umtoe
Adam kigoma malima--mkuranga--kubadilisha majini,baada ya sheikh yahaya kufa amepata mganga mwingine na majini yatamtoa
John chenge--bariadi--mshtuko wa matokeo ya kuvuliwwa gamba
Anne semamba makinda--njombe-tamaa ya kuolewa
Anne kilango malecela--same--=tamaa ya kurithi mali za bwanake zitafanya watoto wa bwanake wamtoe
Augustino laytonga mrema-himo--kisukari na kale kaugojwa ketu
Ezekiel maige--msalala--kujipendekeza
Gabriel makala--mvomero--kujirusha na tamaa ya wanawake
George mkuchika--newala--roho mbaya
Hery shekifu-lushoto-anajua mwenyewe sitaki kutaja hapa
John mmomose cheyo-bariadi--tamaa na usanii
Jonh chiligati-manyoni-roho mbaya na uchawi