Haya maisha bhana!!

Mkuu usikate tamaa, kusoma ni kuelimika..ukielimika unajua cha kufanya.
Usikariri lazima uajiriwe.. .
Fungua macho..........
 
Dit bila shaka ๐Ÿ˜€
 
Kwani umemaliza chuo lini?


Maisha sio rahisi tena wa kiume pambana maana wa kike hafiki mwaka kashapata bwana mweny pesa anaolewa ,yale maisha magumu bye bye!!

Maisha sio rahisi ila ukipata mwanga tu utatusua na utaona umuhimu wa elimu ,mapema mno kukata tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ