Haya Mabango yangekuwa Tz yasingedumu hata nusu saa barabarani

My point is very clear. Nenda kwenye public na wewe ukakosoe.

Over.
Public wapi? Kama vijiweni nakosoa kila siku na vipo vijiwe vingi vina ubishani wa pande mbili za itikadi wanabishana kwa hoja waziwazi kabisa huku tukitumia magazeti mbali mbali kama reference huku tumeyashika sasa unaongelea public gani ya gari la matangazo lenye spika?
 
Hayo mabango yangekua USA basi vijana wa Lumumba wangekuambia wenzetu wamepata uhuru zamani tusijifananishe nao najiuliza hawa SA sijui tuseme nini kujifariji kwa hili nimesikia nyimbo za siasa kwa watoto wa bongo fleva zinaenda kupigwa nyundo soon.
 
Hayo mabango yangekua USA basi vijana wa Lumumba wangekuambia wenzetu wamepata uhuru zamani tusijifananishe nao najiuliza hawa SA sijui tuseme nini kujifariji kwa hili nimesikia nyimbo za siasa kwa watoto wa bongo fleva zinaenda kupigwa nyundo soon.
Nyimbo sio kitu kizuri sana hasa kuimba shutuma za mtu kabla hajathibitishwa mahakamani kumbuka nyimbo ni kitu kinadumu vizazi kwa vizazi. Unamtuhumu mtu kwenye wimbo baadae mahakama inamsafisha utasemaje? Bora ya gazeti ambalo habari zake zinakwisha nguvu haraka.
 
Back
Top Bottom