Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Wanabodi hali tete inayoutetemesha mwili wangu ni baada ya kufungua account yangu ya HESLB na kukuta sehemu ambayo niliattach vielelezo vyangu kuonekana sikuaatach hiyo sehemu nyekundu ilizungushiwa yaani natamani niattach tena lakini fomu ilishaenda hivi wadau hii inaweza kuniletea madhara na ndoto zangu za kusoma UDSM kupotea?
Msaada wa mawazo wakuu nimechanganyiwa
Msaada wa mawazo wakuu nimechanganyiwa