Mkuu kwa heshima na taadhima naomba ukipata nafasi utufafanulie kuhusu hayo majani
hahahahahahah et Hebal Clinic, hajui hela inatafutwa kwa mbinu nyingi sana?
Matikiti maji ni dhahabu ambazo wengi tunaidharau, Angalau umewaondolea mashaka wale wenye wasiwasi,Hii ni kweli na sidhani kama ina side effect..
Binafsi huwa natengeneza pombe kali zangu mwenyewe kwa matumizi yangu mwenyewe na rafiki zangu.. Nilinunua mashine ya distillation kutoka China, ndogo tu for home use. Sasa kuna wakati nikatengeneza whisky ya watermelons kwa kuchanganya na limao na grapes.. Nikafata taratibu zote za kuandaa whisky mpaka nikapata product niliyoitaka..
Sasa kimbembe kikaja nilivyoanza kuitumia ile kitu.. Siku ya kwanza kuinywa uume haukulala usiku kucha.. Nikajiuliza maswali mengi sana nini tatizo.. Ikabidi kesho yake nimwite mama house, aiseeee mpaka alidhani labda nimemlia viagra maana performance haikuwa ya nchi hii..
Nikampa na rafiki yangu mmoja hivi na wala sikumwambia ile kitu ina nini.. Jamaa akaja kunipigia simu asubuhi ananiuliza ile kitu nimeweka nini.. Watermelons ni hatari sana
Mkuu Ningependa na mimi unigawie huo utajiri kama alivyokupa mzee bila choyo ,Mkuu STUNTER sijawahi jaribu huo mchanganyiko wako wala kuusikia kokote, lakini naamini ni salama na hauna side effects.
Ngoja leo niwape story yangu ya kweli kabisa..
Binafsi niliwahi kupata tabu sana siku za nyuma kutokana na ishu hizo za kushindwa kusimamia ukucha vizuri.. Ilibaki kuwa siri yangu lakini ilinitesa, acha tu..
Nilikuwa na majanga mawili; kwanza nilikuwa nawahi kukojoa halafu nyege zote zinakatia hapo, halafu 'mjomba' nae alikuwa weak sometimes akishaangusha mzigo kuamka ni shughuli pevu!
Ila kuna siku nilipata ufumbuzi.. Ilikuwa hivi;
Tulikaa tu maskani (hotel fulani hivi ipo mkabala na nyumba ninayoishi), baada ya kazi jioni tunapiga story, siasa na soka kwa saaana.. Siku hiyo ndio ilikuwa OMEGA ya tatizo langu sugu..
Mmoja wa washirika wa maskani yetu ni mzee mmoja hivi injinia mstaafu.. Akatumegea siri kuwa pmj na uzee wake yeye suala la kula mzigo halimpi stress na anapiga mambo kama kijana.. Tulipomdadisi sana kwa kuwa ni mwenzetu akatupatia utajiri huo wa afya usio na madhara..
Mpaka ninavyoandika hapa, ninayo dawa ya asili (kama majani ya chai hivi) ambayo naichanganya kwenye chai na kahawa kila ninapokunywa... Na sio dawa ya nguvu za kiume tu, inatibu maradhi mengi ambayo nilidhani ni utani ila naona matokeo yake kwa kila anayejaribu..
Sasa tatizo siku hizi matangazo ya tiba hizi yamekuwa mengi na feki kiasi kwamba ni ngumu sana mtu kuaminika anapokuja na story kama hizi anaonekana wale wale tu, ila bahati nzuri wapo walimbwende wawili humu JF nishatoka nao, waje wanisute kama naongopa!
Guys, jaribuni ishu ya Stunter, ikifeli msichoke kutafuta faida kwingineko.. Tumeumbwa kwa udongo, tiba ipo ardhini!
Tiba ya milele unamaanisha nini mkuu? Yani ukitumia maramoja tu?? Kama ndio ivyo basi jibu ni hapana,Hiyo komamanga ndo ikoje?
Je hiyo ni tiba ya milele au ndo ukitaka kupiga show unakunywa hiyo juice!!?
Ha ha ha kumbe mradi wa familia kabisaUtabiri unaanzaga mapema tu asubuh, ngoja tukae sawa tutakuja na majibu yake
teh teh
Maana naona umeamua kucheza na fursa kabisa
subiri shem upewe mrejeshoHa ha ha kumbe mradi wa familia kabisa
Sijui yanaitwaje wala yanakopatikana..Mkuu Ningependa na mimi unigawie huo utajiri kama alivyokupa mzee bila choyo ,
Kwanza hayo majani yanaitwaje?
Yanapatikana vipi ?