Hawatendei haki tai...

nziriye

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
1,051
360
Jamani unajua watz huwa tunafanya mambo kwa mzahamzaha.,yani siri huwa nakerwa na vijana wavaao tai bila kujua taratibu za tai zinataka nini,yani kuna hawa vijana wanaouza vyombo vya plastics wanazunguka navyo mitaani nadhani kwa wale wa tz watakuwa washawaona au?sasa unapishana na kijana anauza vyombo madeli ya ice-cream amevaa jeans ,shati la mikono mirefu na chini ana kandambili,yani inanikera sana,kubwa kuliko ni leo nimekutana na jamaa kavaa pensi nyanya ,shati la mikono mirefu ,tai na raba ametoka kuchukua bidhaa kwa tajiri,eti waungwana hivi hawa waajiri wa vijana hawa na kampuni zao sijui toka canada,marekani,italia hivi hawajui ethics za tai au?vp weye ushakutana nao mtaani ama?
 
Jamani unajua watz huwa tunafanya mambo kwa mzahamzaha.,yani siri huwa nakerwa na vijana wavaao tai bila kujua taratibu za tai zinataka nini,yani kuna hawa vijana wanaouza vyombo vya plastics wanazunguka navyo mitaani nadhani kwa wale wa tz watakuwa washawaona au?sasa unapishana na kijana anauza vyombo madeli ya ice-cream amevaa jeans ,shati la mikono mirefu na chini ana kandambili,yani inanikera sana,kubwa kuliko ni leo nimekutana na jamaa kavaa pensi nyanya ,shati la mikono mirefu ,tai na raba ametoka kuchukua bidhaa kwa tajiri,eti waungwana hivi hawa waajiri wa vijana hawa na kampuni zao sijui toka canada,marekani,italia hivi hawajui ethics za tai au?vp weye ushakutana nao mtaani ama?

Sasa ebu tupe hizo ethics za huo uvaaji mzuri wa tai.....
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom