Tangu sakata la escrow lianze,ni kweli wazee wetu waheshimiwa maraisi wastaafu,Benjamini w.Mkapa na Alhassan Mwinyi hawajasikia??au hawana lolote la kuzungumza??au hata ushauri tu??naona wapo kimya sana,kuna tatizo gani jamani,David!c.Msuya mbona kimya baba??