Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,348
Blueray upo kamanda!!!!!
aisee ms lazima awe na taarifa zakena dar es salaam yupo kweli?
Wit,CPU,Rev Masanilo,cheusimangla na sweetbaby?Nimewamis sana!
CPU yupo Eiyer... ila hata mimi nimemiss WIT mana nina File lake aliomba niandae kuhusu how to kiss (msiniombe mpaka mwenyewe alione!!!) REV nae yupo mchana alikua jamvini... tena toka jana... tatizo Eiyer wewe unaishia tu MMU... uwe unatoka kidogo kakangu...Ila CHEUSIMANGALA hata mimi nimemiss pamoja na GAGA, MICHELLE, KLOROKWINI, NNUNU, PEARL, SAMORA10, DAUGHTER, JOURNEGWALU, BISHANGA, BLACK BERRY, VIPER, EXCELLENT.... Hawa kweli najiuliza ni siku nyingi sasa...
mwafrika. Moh shossi naye kapotea
Haha Masa nimemuona kirabu moja ya Kampumu, Cheusimangala kaolewa na mwanaume ana wivu acha, CPU kabanwa na majukumu maana mkewe kajifungua si unajua mzee mzima? eti anasingizia Limbwata, Krolokwini haha mi simo...gaga naye duh katoa wimbo wa shetani atakuja mwenyewe kujibu, hehe wengine ngoja wasikie tu...watu baada ya Lizzy kula ban wanasusa kwanza kuangalia upepo.....
CPU yupo Eiyer... ila hata mimi nimemiss WIT mana nina File lake aliomba niandae kuhusu how to kiss (msiniombe mpaka mwenyewe alione!!!) REV nae yupo mchana alikua jamvini... tena toka jana... tatizo Eiyer wewe unaishia tu MMU... uwe unatoka kidogo kakangu...Ila CHEUSIMANGALA hata mimi nimemiss pamoja na GAGA, MICHELLE, KLOROKWINI, NNUNU, PEARL, SAMORA10, DAUGHTER, JOURNEGWALU, BISHANGA, BLACK BERRY, VIPER, EXCELLENT.... Hawa kweli najiuliza ni siku nyingi sasa...
Wengi waoga baada ya Lizzy kupigwa ban
Mi namtafuta Paka Mweusi jamani, chonde chonde popote mtakapohisi anbpatikana mniambie.
CPU bora umerudi,duh na wengine wakirudi itakuwa poa sana!Mic u!