Hawa watu wakowapi?

Hata mimi bwana ZIPUWAWA nilipotea nawaulizia wale waliokuwa humu sijui kama wapo Ivuga nimekuona.............nitajitahidi sasa kuwa humu ndani japo Umeme unakaba.
 
Wit,CPU,Rev Masanilo,cheusimangla na sweetbaby?Nimewamis sana!

Nipo mkuu wangu
Tatizo umeme wangu nimeunganisha kwenye kibanda cha charger ambaye nae anataiwa Mil 2 na Ngeleja.
Sasa yeye ndo Tanesco wangu, ananikatia umeme kila akiniona naingia JF
Sasa nimeamua kununua Laptop . . . . .. heheheh
 
CPU yupo Eiyer... ila hata mimi nimemiss WIT mana nina File lake aliomba niandae kuhusu how to kiss (msiniombe mpaka mwenyewe alione!!!) REV nae yupo mchana alikua jamvini... tena toka jana... tatizo Eiyer wewe unaishia tu MMU... uwe unatoka kidogo kakangu...Ila CHEUSIMANGALA hata mimi nimemiss pamoja na GAGA, MICHELLE, KLOROKWINI, NNUNU, PEARL, SAMORA10, DAUGHTER, JOURNEGWALU, BISHANGA, BLACK BERRY, VIPER, EXCELLENT.... Hawa kweli najiuliza ni siku nyingi sasa...

Namaste Asaha D usijiulize sana! tupo! ... mi niponipo majukumu basi yanatufanya tushindwe kuja humu JF! uhali gani lakini ..?!

burudika kitu hii ikuliwaze week end hii

 
Last edited by a moderator:
Haha Masa nimemuona kirabu moja ya Kampumu, Cheusimangala kaolewa na mwanaume ana wivu acha, CPU kabanwa na majukumu maana mkewe kajifungua si unajua mzee mzima? eti anasingizia Limbwata, Krolokwini haha mi simo...gaga naye duh katoa wimbo wa shetani atakuja mwenyewe kujibu, hehe wengine ngoja wasikie tu...watu baada ya Lizzy kula ban wanasusa kwanza kuangalia upepo.....

Mkuu wangu, hilo jina lako tu natumia dakika 3 na sentimita 40 kulitamka lote
Ila hapo kwenye red . . . . . . ahahahahh
 
CPU yupo Eiyer... ila hata mimi nimemiss WIT mana nina File lake aliomba niandae kuhusu how to kiss (msiniombe mpaka mwenyewe alione!!!) REV nae yupo mchana alikua jamvini... tena toka jana... tatizo Eiyer wewe unaishia tu MMU... uwe unatoka kidogo kakangu...Ila CHEUSIMANGALA hata mimi nimemiss pamoja na GAGA, MICHELLE, KLOROKWINI, NNUNU, PEARL, SAMORA10, DAUGHTER, JOURNEGWALU, BISHANGA, BLACK BERRY, VIPER, EXCELLENT.... Hawa kweli najiuliza ni siku nyingi sasa...

Mi tatizo nimepunguza spidi ya kuingia JF
Lakin ngoja nianze kurudi kama kawa, na kupost ma-thread kibao
 
CPU bora umerudi,duh na wengine wakirudi itakuwa poa sana!Mic u!
 
Back
Top Bottom