Hawa wanawake wana ndoa?


Nimekazia tu pale mahali patamu ‘ambako wengi wetu twapapenda’ Pamoja sana mkuu
 
Kwahiyo wataka kujua waume wa hao wanawake ili iweje?
 
Wanawake much know huwa hawaolewi.

Ummy kaolewa
Jenister kaolewa
Tibaijuka ni mjane
Samiah sijui
Tulia bado yupo yupo sana
Juliana Shonza bado anakula ujana.
Esther Bulaya bado anavunja mifupa
Catherine Magige bado anatafuta mchumba
Getrude Mongellla muache bibi yetu huyu
Anne Makinda hajawahi kuolewa na hana mpango
Joyce Ndalichako, huyu alisha kataa kuolewa tangu akiwa binti mdogo
Maua Daftari huyu kwao Pemba sijafika kuulizia
 
Ndalichako aje kwangu ukisikia mtu anazeeka na utam wake ndio iv sasa.....!!!!
 
The richest woman... Hao kuna baadhi wanaishi peponi wakiwa hapa duniani
 
Great thinker think and talk about new ideas and origin of idea. Innovator uses established idea to improve device or life standard. Average thinker think and talk about past events. Lower thinker think and talk about other people. Jipime mwenyewe upon wapi? Jamii forum wengi ni Average thinkers au Lowest thinkers tunajadili sana matukio yaliyopita au watu fulani kafanya hiki nk.
 

tulia kaolewa
ester ni mtalaka
makinda ni mjane
 
Nijuavyo Mimi, nitakaowaandika kwenye koti ndogo ndiyo majina ya waume zao. Ana Kajumulo 'Tibaijuka', Asharose Mtengeti 'Migiro', Tulia Akson 'Mwansasu' , Gertrude Pangalile 'Rwakatare',
 
Kuna Angela Kairuki, Jokate Mwegelo,.......! 🚶🚶🚶🚶
 
Hao wasioolewa inamaaana wamekosa wanaume au ni jeur tu? Wanapaswa kushitakiwa , Halafu mtu hajaolewa mnampaje ubunge? Mnampaje mtu ambae hajaolewa mnampa had uwaziri? Hivi nyie Mwalimu akifufuka atawachoma moto wote hao mnaoenda kumpigia kura msela anaeishi kihuni
 
Asha Rose Migiro mme wake ni Lecturer pale udsm.
Am not sure if he is still there.
Tulia kaolewa
Anna Tibaijuka mmewe keshatangulia mbele za haki.
The least known the least explained.
Ila tuache utani Tibaijuka ana wesere sio masikhara nilipata kumuona siku wanafanya maonesho ya u miss Dodoma katika uchangiaji kama sikosei ulikuwa ni vyoo vya watoto wa kike mgeni rasmi alikuwa mama samia suluhu.

Sipati picha huyu bibi enZi Za early 20th and late 30th. Alikuaje.
 
Nkimpata esta matiko naapa ntatulia tuliii nisaidieni jamani nimpatee japo kuna kimkutano kimoja kilishawahi kutokeaa dj akawasha mziki watu wachezee kwa pamoja nami nlikuemoo ndani ya ukumbi nkaanzaa kunyapia taratibu nkachezee nayee najifanya nadance kumbe namove nkaambulia kumshika mkono tu..!!!mziki ukaisha
 
Ticha atakuuwa shauri yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…